GuDume mtu wa ma adventure ya ajabuajabu unahusika kutoa ushauri hapa.
Tena wewe unayeona kichefuchefu unaweza mvulia chupi mumeo na baba yake na watoto wote wa kiume wadogo wa mumeo. Usijifanye msafi sanaaa. Katika mapenzi hakuna mjanja bwana labda uwe hanisi.Ulipoandika uzi ule humu kumbe uliwadharau waliokushauri vizuri..
Sasa ndio utajiju.. huyo ni hadi ukoo wote utajua ulichofanya.. na unaendelea kumuachia aishi kwako.. eeeh vitimbi vyake kwa mkeo utaviona.. kwa kuwa ulitaka kukimbia inaonyesha kuwa unamtaka yeye zaidi ya mkeo.. namuombea mkeo ajue haraka ulichokifanya nae aumie na kujiamulia mapena analotaka. Kama wamekuseti nalo mtajiju.. mwanaume wewe mchafu sana kumvulia shemeji yako nguo zako.. shaaaa kichefuchefu
Kizuri kula na ndugu yoUmenikumbusha Babu yangu daahhh huyu Balozi yeye aliamua Kuoa mtu na mdogo wake kabisa ...sema aliwapa maisha .
interesting........pambana na hali yako tu mdau
Tena wewe unayeona kichefuchefu unaweza mvulia chupi mumeo na baba yake na watoto wote wa kiume wadogo wa mumeo. Usijifanye msafi sanaaa. Katika mapenzi hakuna mjanja bwana labda uwe hanisi.
Wewe huchelewi kujipendelea na kutaifisha mke wa watu.Mimi ushauri ninaoweza mpa ni kuwa ili kuokoa ndoa yake anipe namba ya mke wake niongee naye kumshauri kuwa hilo suala si kubwa sana na a take easy.asi complicate.then ndoa yake haitavunjika najua nitakapoonana na mkewe nitaongea naye nini ili mambo haya yaishe kwa aman na upendo
HAHAHAHAHAHAMkuu jiue[emoji24]
KABISAUlipoandika uzi ule humu kumbe uliwadharau waliokushauri vizuri..
Sasa ndio utajiju.. huyo ni hadi ukoo wote utajua ulichofanya.. na unaendelea kumuachia aishi kwako.. eeeh vitimbi vyake kwa mkeo utaviona.. kwa kuwa ulitaka kukimbia inaonyesha kuwa unamtaka yeye zaidi ya mkeo.. namuombea mkeo ajue haraka ulichokifanya nae aumie na kujiamulia mapena analotaka. Kama wamekuseti nalo mtajiju.. mwanaume wewe mchafu sana kumvulia shemeji yako nguo zako.. shaaaa kichefuchefu
Una kumbukumbu kama mjusi [emoji3][emoji3]Kwani zile story za kujikojolea na kupandisha mashetani zilishindwa? Maana ilikuwa amazing sana. Mbinu zako za kujikojolea na kukauka na Dada mtu kukimbia Nje ziligonga mwamba?
Umejuaje kama ni wewe uliyemtia mimba?Habarini wadau
Niliongelea kuwa nimejikuta kwenye mahusiano na dada ake na mke wangu baada ya mke kwenda kujifungua nyumbani kwetu. Mazingira niliyobaki nayo na uhalisia yalinifanya nianzishe mahusiano na shemeji yangu ambaye nilimtamani tangu zamani.
Baada ya kutafuta namna ya kuachana nae baada ya kuwa addicted kwake, nilishindwa kumpiga chini. Niliona nende nae taratibu, ila kuna mazingira ambayo nilianza kuyaweka ili niwe nae mbali. Nilitaka niombe likizo nisafiri, ili wiki ijayo anapokuja mke wangu asinikute nae.
Nimefanya mchakato wa kuanza likzo baada ya mwaka mpya nimekubaliwa na mkuu. Jana jioni wakati nataka nipige mashine ananipa habari za kutokuona siku zake. Leo asb nimetoka kununua pegnancy test, majibu ni positive. Na amefurahi anadai hatoi. Nimemuuliza unataka familia yangu ife? Ameniambia hayamuhusu, yeye anachojua amepata alichohitaji.
Nimechanganyikiwa, Nasubiri akili itulie nifanye maamuzi