Hapo patamu sana!, ha ha haaaah. Tangu tujue wanawake wanapenda kuambiwa UONGO basi tunautumia ipasavyo hata ambapo haifai. "CCM wamshauri kijana kwamba aisome namba! hata kama haijaandikwa"Nahisi alimwambia mama xjaoa na cna mtoto ndio maana bim mkubwa akazidisha mbwembwe ili wapate kababy xaxa ataanzaje kumwambia wanaume macho utosini hao
ha ha ha ha ha ha Aise wewe huna maana.hivi hapa shetani alikupitia au we ndo ulimpitia mkaenda nae kwa hyo ma mkwe wako?
Wasalaaam wanaJF nikiwa bado na huzuni yangu dhidi ya Barcelona
Leo kwa mara ya kwanza ninaomba ushaur hapa jukwaani kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuwa nina mke na mtoto mmoja ila katika pitapita zangu nikakutana na Mmama wa makamo. Kumbe yule alikuwa ni mama mdogo wa mkewangu ila ckutambua had pale nilipomaliza kufanya yangu Siku moja tukiwa sehemu tulivu nikashika simu yake nikakuta picha ya Wife kwenye simu yake nilipomuuliza akanijibu kuwa hyo picha ni ya mwanae mtoto wa dada yake kiukweli hamu yote ikaniisha. Niliporud home nikamuuliza wife unamjua mtu fulani akasema ndio ni mama yake japo ni mtu wa pilikapilika kwenye biashara zake ila alimuahid siku moja angekuja kumtembelea
Sasa kubwa zaidi tiyar kitu kimenasa tumboni na kanihakikishia ni yangu japo mahusiano naye nimepunguza baada ya kugundua ukweli ila kila nikifikiria sipati majibu hvyo nimeleta hapa jukwaani Home of Great Thinker naamini nitapata angalau ushauri
ZIADA
WAKUU TUWEKENI MASIKHARA PEMBENI NA KWA WANAOJUA NI UONGO SIWEZ KUJA HAPA KUWEKA UTANI INGEKUWA NI UONGO NINGEPELEKA JUKWAA LA JOKES. OMBI LANGU TUACHE MIZAHA KAMA HUNA CHA KUCHANGIA PITA KAMA KIVULI KINGINE MIMI SIISHI DAR
hahahaahahahahaaaaaaaaaaaaHaina shida mtoto atakayezaliwa atakuwa mdogo wa mkeo na shemeji kwako kwa kuwa umemwolea dada yake! Pia huyo mama mdogo wa mkeo atakuwa mke mwenza kwa mwanae...hongera kesho zaa na bibi wa mkeo!
Haina shida mtoto atakayezaliwa atakuwa mdogo wa mkeo na shemeji kwako kwa kuwa umemwolea dada yake! Pia huyo mama mdogo wa mkeo atakuwa mke mwenza kwa mwanae...hongera kesho zaa na bibi wa mkeo!
Shetani kakata breki.....
kwa kweli familia hizi zinavituko sana sijui hata anajionaje katika jamii
Yaaa hayo ni malipo halali ya kumsaliti mkeo, subiria ajifungue umtambulishe kwa mkeo, Sawa? Na akitoa tuu hiyo mimba atakufa nayo.Wasalaam wanaJF,
Nikiwa bado na huzuni yangu dhidi ya Barcelona, leo kwa mara ya kwanza ninaomba ushauri hapa jukwaani.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kuwa nina mke na mtoto mmoja ila katika pitapita zangu nikakutana na mmama wa makamo.
Kumbe yule alikuwa ni mama mdogo wa mkewangu ila sikutambua hadi pale nilipomaliza kufanya yangu. Siku moja tukiwa sehemu tulivu nikashika simu yake nikakuta picha ya wife kwenye simu yake nilipomuuliza akanijibu kuwa hiyo picha ni ya mwanae mtoto wa dada yake kiukweli hamu yote ikaniisha.
Niliporudi home nikamuuliza wife unamjua mtu fulani akasema ndio ni mama yake japo ni mtu wa pilikapilika kwenye biashara zake ila alimuahidi siku moja angekuja kumtembelea.
Sasa kubwa zaidi tayari kitu kimenasa tumboni na kanihakikishia ni yangu japo mahusiano naye nimepunguza baada ya kugundua ukweli ila kila nikifikiria sipati majibu hivyo nimeleta hapa jukwaani Home of Great Thinker naamini nitapata angalau ushauri.
ZIADA WAKUU TUWEKENI MASIKHARA PEMBENI NA KWA WANAOJUA NI UONGO SIWEZI KUJA HAPA KUWEKA UTANI INGEKUWA NI UONGO NINGEPELEKA JUKWAA LA JOKES.
OMBI LANGU TUACHE MIZAHA KAMA HUNA CHA KUCHANGIA PITA KAMA KIVULI KINGINE MIMI SIISHI DAR.
Shetani kakata breki.....
Matangazo ya condom hujawahi yaona?
umepunguza?baada ya kugundua ni mkweo? hukuacha kabisa?