Nimempa mimba mama mkwe wangu

Nimempa mimba mama mkwe wangu

Dhambi hii pia shetani amekana kuhusika!!
 
Pole kaka ndio maisha ya ngono zembe punguza tamaa utampa mimba ata dadaako
 
Wasalaaam wanaJF nikiwa bado na huzuni yangu dhidi ya Barcelona
Leo kwa mara ya kwanza ninaomba ushaur hapa jukwaani kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuwa nina mke na mtoto mmoja ila katika pitapita zangu nikakutana na Mmama wa makamo. Kumbe yule alikuwa ni mama mdogo wa mkewangu ila ckutambua had pale nilipomaliza kufanya yangu Siku moja tukiwa sehemu tulivu nikashika simu yake nikakuta picha ya Wife kwenye simu yake nilipomuuliza akanijibu kuwa hyo picha ni ya mwanae mtoto wa dada yake kiukweli hamu yote ikaniisha. Niliporud home nikamuuliza wife unamjua mtu fulani akasema ndio ni mama yake japo ni mtu wa pilikapilika kwenye biashara zake ila alimuahid siku moja angekuja kumtembelea
Sasa kubwa zaidi tiyar kitu kimenasa tumboni na kanihakikishia ni yangu japo mahusiano naye nimepunguza baada ya kugundua ukweli ila kila nikifikiria sipati majibu hvyo nimeleta hapa jukwaani Home of Great Thinker naamini nitapata angalau ushauri
ZIADA
WAKUU TUWEKENI MASIKHARA PEMBENI NA KWA WANAOJUA NI UONGO SIWEZ KUJA HAPA KUWEKA UTANI INGEKUWA NI UONGO NINGEPELEKA JUKWAA LA JOKES. OMBI LANGU TUACHE MIZAHA KAMA HUNA CHA KUCHANGIA PITA KAMA KIVULI KINGINE MIMI SIISHI DAR
Malipo ya uzinzi ndio hayo umeumbuka pabaya 😀
Lea mimba hiyo na mtunze mtoto wako
 
Mwambie ukweli uone ana react vipi, utapata sehemu ya kuanzia. Mwambie wewe ni mama mkwe wangu na limetokea hili; muombe mshauriane nini cha kufanya kabla ya taarifa za umbea kumfikia mkeo!!. Shahara wa dhambi ni mauti!
Nahisi alimwambia mama xjaoa na cna mtoto ndio maana bim mkubwa akazidisha mbwembwe ili wapate kababy xaxa ataanzaje kumwambia wanaume macho utosini hao
 
Wasalaaam wanaJF nikiwa bado na huzuni yangu dhidi ya Barcelona
Leo kwa mara ya kwanza ninaomba ushaur hapa jukwaani kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuwa nina mke na mtoto mmoja ila katika pitapita zangu nikakutana na Mmama wa makamo. Kumbe yule alikuwa ni mama mdogo wa mkewangu ila ckutambua had pale nilipomaliza kufanya yangu Siku moja tukiwa sehemu tulivu nikashika simu yake nikakuta picha ya Wife kwenye simu yake nilipomuuliza akanijibu kuwa hyo picha ni ya mwanae mtoto wa dada yake kiukweli hamu yote ikaniisha. Niliporud home nikamuuliza wife unamjua mtu fulani akasema ndio ni mama yake japo ni mtu wa pilikapilika kwenye biashara zake ila alimuahid siku moja angekuja kumtembelea
Sasa kubwa zaidi tiyar kitu kimenasa tumboni na kanihakikishia ni yangu japo mahusiano naye nimepunguza baada ya kugundua ukweli ila kila nikifikiria sipati majibu hvyo nimeleta hapa jukwaani Home of Great Thinker naamini nitapata angalau ushauri
ZIADA
WAKUU TUWEKENI MASIKHARA PEMBENI NA KWA WANAOJUA NI UONGO SIWEZ KUJA HAPA KUWEKA UTANI INGEKUWA NI UONGO NINGEPELEKA JUKWAA LA JOKES. OMBI LANGU TUACHE MIZAHA KAMA HUNA CHA KUCHANGIA PITA KAMA KIVULI KINGINE MIMI SIISHI DAR
Ungekuwa demu tungekwita KAHABA ila hapa sijui tukuitwe Mzee VANGUVANGU
 
Akili yako ndio itatekeleza maamuzi yako.
 
Asitoe mimba, muache mama mkwe ajizalie mjukuu! Na ww upate shemeji pia, mkeo apate dada/kaka
 
Wanaotia nje ni wa pumbavu.
Wanaotia nje bila condom ni wajinga, wapumbavu na akili zenu hazina akili.

Kwa sasa Huna la kufanya kubali ujinga wako mwambie mkeo ukweli .
 
Hapa kuna uongo. Kwa mazingira ya kibongo ni ngumu sana mtu kuoa halafu ndugu wa karibu wa mkeo wasikufahamu japo kwa picha, hasa kwenye zama hizi za smart devices.
Kama hadi wanatumiana picha na kuiweka kny wall page maana yake wapo karibu, sidhani kama picha yako hakuwa ameiona. Nadhani unauza chai kny huu uzi.
 
Marehemu Munga Tehenan - yule Mwl. wa utambuzi na meditation - aliwahi kuandika riwaya nzuri yenye muundo kama hii hadithi yako. Iboreshe uipeleke kwa Shigongo upige hela.
 
Mtoto wako wa sasa atakuita babu mdogo baada ya miezi 9.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom