korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
Kabisaa yaaniHuyo mfanyakazi wa benki amekosea sana kutaja salio lako mbele za watu, ethics za kazi hazipo hivyo,
Mkuu hasira zako zielekeze kwenye kutafuta pesa, tafuta pesa, narudia tena tafuta pesa, heshima itakuja tu na hautokua tena na tabia ya ugomvi ugomvi, nakukumbusha tafuta pesa mkuu.