Nimempa kibuti rasmi

Wanaume wa mjini ni waduwanzi sana. How can you West your time exploring a person who is just a woman?!
Dah....ndio maana wanaume wa mikoani mnazeeka na stress haraka,utakuta mtu anakaa na mwanamke,mzinzi,malaya,jeuri,kiburi.....eti mwanamke mpaka umfumanie ndio umuache! Na hata mkimfumania siku mbili mnamrudisha ndani!.....shenz*** ujinga akafanye kwa baba na mama yake**

Dabil piga chini huyo Malay* hawezi badilika. Anatafuta sehemu ya kuishi na kula tu kwako.
 
Hahaha...
We Noma mkuu!
Alikuja kwny hiyo kideti?
 
Yani sisi jamani..! Haya pole mkuu
 
Nice story. Loved ones don't communicate only through social media. Do you want us to believe that yr manzi communicates with her mchepuko only through fb😓😭
 
Wewe unampenda zaidi kuliko yeye ndo maana unahangaika hivyo pole lakini.
 
Sasa ushahidi unao lodge yanaenda kufata nn mkuu , hio hela ya lodge kachome kidari ya mbuzi ujipongeze
 
Kuna jamaa humu huwa anauliza "hao wanawake wa aina hiyo hivi huwa mnawatoa wapi
Tatizo Wana feli padogo Una takiwa na mwanamke cha Kwanza lazima ujue ni mwanamke wa aina gani kuna mwanamke wa kumla na kuacha na mwingine wakuwa nae kwenye mahusiano sasa awa wakujenga nao uchumba wapo wachache Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…