Crystal clear
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 809
- 339
umeshakuwa mke wa mtu ya nini uhatarishe ndoa yako. je wewe mumeo angekucheat na ex wake ungejisikiaje? huyo hana lolote atatembea na wewe then atakuachaHabari bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
Wewe hujatulia kabisa!!!Unakubali kushikwa mkono na ex wako?what the hell?Unataka kuniambia huoni ishara zote kama anakutaka?Hujui kama wewe mke wa mtu?Unafurahia attention unayopewa ehhh,ngoja ikutokee puani!!Natamani nikunase vibao akili zako zikae sawa maana naona zimekuvurugika...Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
Umri wako unaonesha kiasi gani ambavyo hujapevuka kiakili!!Sidhani hata kama unaelewa mapenzi ni nini?Umekimbilia ndoa kabla wakati wake ulikuwa hujamaliza kuonjaonja!!Mume wangu nampenda na huyo kijana nlikuwa nampenda cz alikuwa mate wangu.
Huyu nae mwanao wa ngapi?maanake nipatwa na mshawasha wa kumcharaza bakora!!Heee...umeolewa lini tena? au ni kwenye ile michezo yenu ya kibaba na kimama....