Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,261
Nimekimbia haraka mpaka nikajikwaa nikidhani labda njemba ingine imemzimikia dearest na kuzidi kuharibu mahesabu kumbe ni yule wa tangazo,pheeew!Kaaazi kweli kweli....
Mkuu tafuta mtu anaefanya kazi PSI au anaemfahamu mtu wa hivyo upate data za huyu sister huwezi juwa labda mambo yanaweza kuwa mazuri.Tena huwa natamani pale anapoangalia parefushwe kidogo nimtathmini
Mkuu tafuta mtu anaefanya kazi PSI au anaemfahamu mtu wa hivyo upate data za huyu sister huwezi juwa labda mambo yanaweza kuwa mazuri.
Nimekimbia haraka mpaka nikajikwaa nikidhani labda njemba ingine imemzimikia dearest na kuzidi kuharibu mahesabu kumbe ni yule wa tangazo,pheeew!
That's my girl hujambo lakini ?Hahaaha dearest siku hizi ni kimya kimya ila nawatolea nje...sitaki uumie!
That's my girl hujambo lakini ?
Sinking abt you dearest.Mbona huniongezei like na thanks lol!I‘m good...how is you dearest???!
That's my girl hujambo lakini ?
Hahaha! mwanamke mzuri lazima atatongozwa anavyopangua ndio muhimu.unaibiwa kimya kimya kaka
Hahaha! mwanamke mzuri lazima atatongozwa anavyopangua ndio muhimu.
Namwamini na hajanipa sababu ya kumhisi vibaya.sasa si mpaka ujue kuwa kapangua?
Namwamini na hajanipa sababu ya kumhisi vibaya.
tongozo.com
Sinking abt you dearest.Mbona huniongezei like na thanks lol!
Ukifuatilia tv kuna tangazo moja la kondom. Jamaa kaenda umasaini kuposa. Sharti ikawa ajue kuruka kimasai. Mara ya tatu kuruka akadondosha kondom. Sasa pale binti anapomcheki jamaa kwa nishai. Anavyobenua midomo na anavyomcheki jamaa napatwa na wivu kiukweli. Utadhani si tangazo! Mwambieni binti, anajua