mr movement
Member
- Mar 19, 2012
- 95
- 97
Mkuu mtoa mada na wewe kumbe yamekukuta. Nimeona bandiko lako unalalamika umemfumania mke wako na jirani yako wanabanjuana hadi ule mtandao pendwa. Pole sana, inaonekana mtaa wenu unatisha kwa mambo hayo.
HatariMkuu mtoa mada na wewe kumbe yamekukuta. Nimeona bandiko lako unalalamika umemfumania mke wako na jirani yako wanabanjuana hadi ule mtandao pendwa. Pole sana, inaonekana mtaa wenu unatisha kwa mambo hayo.
We jamaa kiboko umemfuma mke wako analiwa baada ya kughaili safari tena ukamfuma na mke wajiran yako analiwa unabahati sananduguu zangu aisee unaweza kukata tamaa mke wako asifanye kazi yeyote abaki nyumbani tu,
mi nakaa mitaa flani wanapobomoa bomoa uku dsm, kuna jirani yangu anafanya kazi uhamiaji na ni mtu mzito kweli pale, huyu kaka namuita ndugu japo si damu moja, lakin kanisaidia sana maishani,
alioa mwanamke ambaye kwa kipindi anaolewa alikuwa kamaliza SUA, kumbe alipomaliza shule akaanza kusambaza cv alikutana na vikwazo kibao hasa ikiwemo bosi kutaka malipo ya mrabaha
, siku moja nikaenda maeneo ya mwenge maana ndo anafanyia kazi huyo mwanamke sitataja ofisi, nikaingia hotelin pale maana nilikuwa na wageni nikafika pale nikakutana na huyun shemeji yangu anatoka pale hotelin akiwa na mwanaume, baada ya kuniona alishtuka sana , akanitambulisha kuwa yule ni boss wake, na akamwambia bossi kuwa mi jrani yake, nikajua kuna linaloendelea , kwa bahati nzuri sikumwambia mme wake yaan kaka yangu huyo, siku ilofuata shemeji akanifuata akaniambia kama kuna lolote nili notice nikaushe maana huyo ndo bossi wake na anaweza kumfukuza angemkatalia kukutana naye pale ila alisema kuwa hawakufanya jambo ilikuwa ni mazungumzo tu, ok
sasa huyu mme wake wakapata safari kikazi kwenda ------ walikaa miezi kadhaa, katika mizunguko yangu ofisi za manispaa nikakutana na yule bosi tena akanikumbuka , tukaongea sana ila sikuuliza chochote juu ya shemeji yangu,
akauliza nafanya kazi gani tukatambulishana, ikaonekana kumbe kazi yangu ningeweza kumsaidia jambo pale ofisini akasema atanipigia one day,
tukapanga kwamba shughuli yake ningeifanya weekend maana ndo nilikuwa free akasema nami nakuwa free utakuja tukapanga jumamosi jion.maana alisema kama si jumamosi basi jumapili, nikaamua kwenda jumapili nikijua ntamkuta tu maana alikuwa free hadi jumapili, nikafika nikakuta ofisi imefungwa lakin mlinzi akanambia labda nimsubirie kwenye benchi ya pale nje, maana atakuwa ofisi nyingineyo miongoni mwa ofis za ndani, nikapiga simu imezimwa nikasema ngoja nimsubiri, lakin nikaenda msalani , wakati naenda nikaona kama tobo fulani unaweza ona ndani alafu kama vile kuna mtu, nikaamua kuchungulia, mwanamke sikuweza kumtambua haraka maana alikuwa kakaa mezani katoa nguo za chini kaamuangalia mwanaume aliyeshusha suruali kidogo, kama ka mlegezo fulani hivi, alafu mwanamke anafanya action ya kujisukumiza kwa mwanume , niliishiwa mood nikasema na hivi ni weekend ngoja naichek hii movie, nikasikia kama mtu anakuja msalani nikatoka haraka nikarudi kwenye seat ile, baadae naona mlango unafunguliwa kidogo kidogo kama wanachungulia, eee kuangalia ni mke wa jiran yangu, kaka yangu ,rafiki yangu,
tokea jumapili mpaka now najiuliza inakuiwaje, tena mi ndo nimemfuata kaka airpot leo kafika , ila sikumwabia kitu, ila nadhani kahisi jambo maana kama vile sikuwa sawa,
mimi sijui nimwambie sijui niwaache?
maana huyu mwanaume ndo alikuwa anamsapoti ata kwenye ada SUA, kamlipia mama yake alikuwa na kesi kidogo nyumba yake iuzwe , kamlipia million 7 na kumaliza kesi, anasaidia wadogo zake mke wake, lakini haridhiki,
shemeji yangu alikuwa na aibu kuniangaliaq usoni , ila leo kapiga simu eti ana mazungumzo na mimi kabla sijaongea chochote na mme wake,
kwakweli nahisi huyu kaka akija kujua nilijua nikamficha itakuwa shida, maana ipo siku mwanamke anaweza fanya jambo akawekwa mtu kati akasema nisamehe hata shemeji ..... anajua alitukuta,
lakini nahisi ikimshauri ntavunja ndoa,
Aiseee Una nguvu na ujasiri saaana, uende tu kwenye nyumba ya mtu uanze tu kuchungulia kwenye madirisha ya Watu!!! Hii Kali Sana, jiepushe na hii tabia Sio nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Yalete mkuuNilizani yaliyomkuta jirani yangu makubwa kumbe kuna kubwa kuliko huku
kaka umeongea nilichokifikiriaHapo anapokwambia ana mazungumzo na wewe lengo lake akutunuku k ili usiseme. Malaya ni malaya tu hawezi kuacha, labda anapumzika tu. Muokoe nduguyo, muepushe na limalaya hilo litamuua mapema. Kama anatoa uchi kwa sababu ya wema aliotendewa (kupewa ajira), it means yupo tayari kuitoa popote atakaposaidiwa tena. Anaifanya kuwa mali ya umma.
Utajisikiaje siku ukiambiwa nduguyo ana ngwengwe, na kaambukizwa na mkewe?
Mimi siwezi kukaa kimya nikiona shemeji yangu yeyote anazingua, nitasema tu bila kujali matokeo yake maana nawapenda ndugu zangu, nawaeleza ukweli hata kama hawaupendi....
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
nduguu zangu aisee unaweza kukata tamaa mke wako asifanye kazi yeyote abaki nyumbani tu,
mi nakaa mitaa flani wanapobomoa bomoa uku dsm, kuna jirani yangu anafanya kazi uhamiaji na ni mtu mzito kweli pale, huyu kaka namuita ndugu japo si damu moja, lakin kanisaidia sana maishani,
alioa mwanamke ambaye kwa kipindi anaolewa alikuwa kamaliza SUA, kumbe alipomaliza shule akaanza kusambaza cv alikutana na vikwazo kibao hasa ikiwemo bosi kutaka malipo ya mrabaha
, siku moja nikaenda maeneo ya mwenge maana ndo anafanyia kazi huyo mwanamke sitataja ofisi, nikaingia hotelin pale maana nilikuwa na wageni nikafika pale nikakutana na huyun shemeji yangu anatoka pale hotelin akiwa na mwanaume, baada ya kuniona alishtuka sana , akanitambulisha kuwa yule ni boss wake, na akamwambia bossi kuwa mi jrani yake, nikajua kuna linaloendelea , kwa bahati nzuri sikumwambia mme wake yaan kaka yangu huyo, siku ilofuata shemeji akanifuata akaniambia kama kuna lolote nili notice nikaushe maana huyo ndo bossi wake na anaweza kumfukuza angemkatalia kukutana naye pale ila alisema kuwa hawakufanya jambo ilikuwa ni mazungumzo tu, ok
sasa huyu mme wake wakapata safari kikazi kwenda ------ walikaa miezi kadhaa, katika mizunguko yangu ofisi za manispaa nikakutana na yule bosi tena akanikumbuka , tukaongea sana ila sikuuliza chochote juu ya shemeji yangu,
akauliza nafanya kazi gani tukatambulishana, ikaonekana kumbe kazi yangu ningeweza kumsaidia jambo pale ofisini akasema atanipigia one day,
tukapanga kwamba shughuli yake ningeifanya weekend maana ndo nilikuwa free akasema nami nakuwa free utakuja tukapanga jumamosi jion.maana alisema kama si jumamosi basi jumapili, nikaamua kwenda jumapili nikijua ntamkuta tu maana alikuwa free hadi jumapili, nikafika nikakuta ofisi imefungwa lakin mlinzi akanambia labda nimsubirie kwenye benchi ya pale nje, maana atakuwa ofisi nyingineyo miongoni mwa ofis za ndani, nikapiga simu imezimwa nikasema ngoja nimsubiri, lakin nikaenda msalani , wakati naenda nikaona kama tobo fulani unaweza ona ndani alafu kama vile kuna mtu, nikaamua kuchungulia, mwanamke sikuweza kumtambua haraka maana alikuwa kakaa mezani katoa nguo za chini kaamuangalia mwanaume aliyeshusha suruali kidogo, kama ka mlegezo fulani hivi, alafu mwanamke anafanya action ya kujisukumiza kwa mwanume , niliishiwa mood nikasema na hivi ni weekend ngoja naichek hii movie, nikasikia kama mtu anakuja msalani nikatoka haraka nikarudi kwenye seat ile, baadae naona mlango unafunguliwa kidogo kidogo kama wanachungulia, eee kuangalia ni mke wa jiran yangu, kaka yangu ,rafiki yangu,
tokea jumapili mpaka now najiuliza inakuiwaje, tena mi ndo nimemfuata kaka airpot leo kafika , ila sikumwabia kitu, ila nadhani kahisi jambo maana kama vile sikuwa sawa,
mimi sijui nimwambie sijui niwaache?
maana huyu mwanaume ndo alikuwa anamsapoti ata kwenye ada SUA, kamlipia mama yake alikuwa na kesi kidogo nyumba yake iuzwe , kamlipia million 7 na kumaliza kesi, anasaidia wadogo zake mke wake, lakini haridhiki,
shemeji yangu alikuwa na aibu kuniangaliaq usoni , ila leo kapiga simu eti ana mazungumzo na mimi kabla sijaongea chochote na mme wake,
kwakweli nahisi huyu kaka akija kujua nilijua nikamficha itakuwa shida, maana ipo siku mwanamke anaweza fanya jambo akawekwa mtu kati akasema nisamehe hata shemeji ..... anajua alitukuta,
lakini nahisi ikimshauri ntavunja ndoa,