Nimemfumania rasmi mke wa jirani yangu akiliwa na bosi wake kwa mara ya pili

Mkuu mtoa mada na wewe kumbe yamekukuta. Nimeona bandiko lako unalalamika umemfumania mke wako na jirani yako wanabanjuana hadi ule mtandao pendwa. Pole sana, inaonekana mtaa wenu unatisha kwa mambo hayo.
 
nduguu zangu aisee unaweza kukata tamaa mke wako asifanye kazi yeyote abaki nyumbani tu,

mi nakaa mitaa flani wanapobomoa bomoa uku dsm, kuna jirani yangu anafanya kazi uhamiaji na ni mtu mzito kweli pale, huyu kaka namuita ndugu japo si damu moja, lakin kanisaidia sana maishani,
alioa mwanamke ambaye kwa kipindi anaolewa alikuwa kamaliza SUA, kumbe alipomaliza shule akaanza kusambaza cv alikutana na vikwazo kibao hasa ikiwemo bosi kutaka malipo ya mrabaha
,
siku moja nikaenda maeneo ya mwenge maana ndo anafanyia kazi huyo mwanamke sitataja ofisi, nikaingia hotelin pale maana nilikuwa na wageni nikafika pale nikakutana na huyun shemeji yangu anatoka pale hotelin akiwa na mwanaume, baada ya kuniona alishtuka sana , akanitambulisha kuwa yule ni boss wake, na akamwambia bossi kuwa mi jrani yake, nikajua kuna linaloendelea , kwa bahati nzuri sikumwambia mme wake yaan kaka yangu huyo, siku ilofuata shemeji akanifuata akaniambia kama kuna lolote nili notice nikaushe maana huyo ndo bossi wake na anaweza kumfukuza angemkatalia kukutana naye pale ila alisema kuwa hawakufanya jambo ilikuwa ni mazungumzo tu, ok

sasa huyu mme wake wakapata safari kikazi kwenda ------ walikaa miezi kadhaa, katika mizunguko yangu ofisi za manispaa nikakutana na yule bosi tena akanikumbuka , tukaongea sana ila sikuuliza chochote juu ya shemeji yangu,
akauliza nafanya kazi gani tukatambulishana, ikaonekana kumbe kazi yangu ningeweza kumsaidia jambo pale ofisini akasema atanipigia one day,

tukapanga kwamba shughuli yake ningeifanya weekend maana ndo nilikuwa free akasema nami nakuwa free utakuja tukapanga jumamosi jion.maana alisema kama si jumamosi basi jumapili, nikaamua kwenda jumapili nikijua ntamkuta tu maana alikuwa free hadi jumapili, nikafika nikakuta ofisi imefungwa lakin mlinzi akanambia labda nimsubirie kwenye benchi ya pale nje, maana atakuwa ofisi nyingineyo miongoni mwa ofis za ndani, nikapiga simu imezimwa nikasema ngoja nimsubiri, lakin nikaenda msalani , wakati naenda nikaona kama tobo fulani unaweza ona ndani alafu kama vile kuna mtu, nikaamua kuchungulia, mwanamke sikuweza kumtambua haraka maana alikuwa kakaa mezani katoa nguo za chini kaamuangalia mwanaume aliyeshusha suruali kidogo, kama ka mlegezo fulani hivi, alafu mwanamke anafanya action ya kujisukumiza kwa mwanume , niliishiwa mood nikasema na hivi ni weekend ngoja naichek hii movie, nikasikia kama mtu anakuja msalani nikatoka haraka nikarudi kwenye seat ile, baadae naona mlango unafunguliwa kidogo kidogo kama wanachungulia, eee kuangalia ni mke wa jiran yangu, kaka yangu ,rafiki yangu,

tokea jumapili mpaka now najiuliza inakuiwaje, tena mi ndo nimemfuata kaka airpot leo kafika , ila sikumwabia kitu, ila nadhani kahisi jambo maana kama vile sikuwa sawa,

mimi sijui nimwambie sijui niwaache?
maana huyu mwanaume ndo alikuwa anamsapoti ata kwenye ada SUA, kamlipia mama yake alikuwa na kesi kidogo nyumba yake iuzwe , kamlipia million 7 na kumaliza kesi, anasaidia wadogo zake mke wake, lakini haridhiki,

shemeji yangu alikuwa na aibu kuniangaliaq usoni , ila leo kapiga simu eti ana mazungumzo na mimi kabla sijaongea chochote na mme wake,

kwakweli nahisi huyu kaka akija kujua nilijua nikamficha itakuwa shida, maana ipo siku mwanamke anaweza fanya jambo akawekwa mtu kati akasema nisamehe hata shemeji ..... anajua alitukuta,

lakini nahisi ikimshauri ntavunja ndoa,
We jamaa kiboko umemfuma mke wako analiwa baada ya kughaili safari tena ukamfuma na mke wajiran yako analiwa unabahati sana
 
Kausha mwana kwa sababu hujui jamaa anampenda mke wake kiasi gani,ukisema na jamaa akachukulia poa akaendelea na mke wake utaonekana choo!
 
Mwambie huyo kakako asipoamini shauri yake,ukweli utakuweka huru mkuu,ukishiriki kuficha uovu na wewe ni muovu,ukichelewa shemegi yako akikuwahi atakutilia fitna kali kwa mumewe hatakuamini n mtagombana vibaya mno.
 
Fanya umueleze haraka mno
kabla huyo mwanamke hajakuwahi
Tambua mke wake anaamini ww utasema kwa hiyo anawaza akuwahi vp
mf:akimwambia mumewe rafiki yko ananitaka
ww hata ukimueleza anacheat atakuelewa kweli
 
bora uonekane mbaya
pata picha huyo mwanke anamletea rafiki ako ukimwi halaf ulikuwa kimya kwa tabia za mke wke
Nafsi itakusuta sana
 
Hapo anapokwambia ana mazungumzo na wewe lengo lake akutunuku k ili usiseme. Malaya ni malaya tu hawezi kuacha, labda anapumzika tu. Muokoe nduguyo, muepushe na limalaya hilo litamuua mapema. Kama anatoa uchi kwa sababu ya wema aliotendewa (kupewa ajira), it means yupo tayari kuitoa popote atakaposaidiwa tena. Anaifanya kuwa mali ya umma.
Utajisikiaje siku ukiambiwa nduguyo ana ngwengwe, na kaambukizwa na mkewe?

Mimi siwezi kukaa kimya nikiona shemeji yangu yeyote anazingua, nitasema tu bila kujali matokeo yake maana nawapenda ndugu zangu, nawaeleza ukweli hata kama hawaupendi....

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
kaka umeongea nilichokifikiria
hakuna kitu nakichukia kama rafiki yangu anajua jambo baya nafanyiwa halaf haniambii aisee nikijua urafiki naua
 
Mwambie ajue kabisa bora ukweli mchungu kuliko uwongo mtamu au mtumie msg mweleze na namba ya MTU mwingine bila kujua .
 
Kwa uroho wangu hapo ningemwambia na Mimi anipe URODA ili nisimwambie broo
 
Pasua jipu tu , maana mke anauma asikwambi mtu, haya mambo yasikie tu au kuyaona kwa watu , omba yasikukute
 
wewe ni jinsia ya kike kwani, mbona umeandika kwa pozi huyu kaka unavyosema
nduguu zangu aisee unaweza kukata tamaa mke wako asifanye kazi yeyote abaki nyumbani tu,

mi nakaa mitaa flani wanapobomoa bomoa uku dsm, kuna jirani yangu anafanya kazi uhamiaji na ni mtu mzito kweli pale, huyu kaka namuita ndugu japo si damu moja, lakin kanisaidia sana maishani,
alioa mwanamke ambaye kwa kipindi anaolewa alikuwa kamaliza SUA, kumbe alipomaliza shule akaanza kusambaza cv alikutana na vikwazo kibao hasa ikiwemo bosi kutaka malipo ya mrabaha
,
siku moja nikaenda maeneo ya mwenge maana ndo anafanyia kazi huyo mwanamke sitataja ofisi, nikaingia hotelin pale maana nilikuwa na wageni nikafika pale nikakutana na huyun shemeji yangu anatoka pale hotelin akiwa na mwanaume, baada ya kuniona alishtuka sana , akanitambulisha kuwa yule ni boss wake, na akamwambia bossi kuwa mi jrani yake, nikajua kuna linaloendelea , kwa bahati nzuri sikumwambia mme wake yaan kaka yangu huyo, siku ilofuata shemeji akanifuata akaniambia kama kuna lolote nili notice nikaushe maana huyo ndo bossi wake na anaweza kumfukuza angemkatalia kukutana naye pale ila alisema kuwa hawakufanya jambo ilikuwa ni mazungumzo tu, ok

sasa huyu mme wake wakapata safari kikazi kwenda ------ walikaa miezi kadhaa, katika mizunguko yangu ofisi za manispaa nikakutana na yule bosi tena akanikumbuka , tukaongea sana ila sikuuliza chochote juu ya shemeji yangu,
akauliza nafanya kazi gani tukatambulishana, ikaonekana kumbe kazi yangu ningeweza kumsaidia jambo pale ofisini akasema atanipigia one day,

tukapanga kwamba shughuli yake ningeifanya weekend maana ndo nilikuwa free akasema nami nakuwa free utakuja tukapanga jumamosi jion.maana alisema kama si jumamosi basi jumapili, nikaamua kwenda jumapili nikijua ntamkuta tu maana alikuwa free hadi jumapili, nikafika nikakuta ofisi imefungwa lakin mlinzi akanambia labda nimsubirie kwenye benchi ya pale nje, maana atakuwa ofisi nyingineyo miongoni mwa ofis za ndani, nikapiga simu imezimwa nikasema ngoja nimsubiri, lakin nikaenda msalani , wakati naenda nikaona kama tobo fulani unaweza ona ndani alafu kama vile kuna mtu, nikaamua kuchungulia, mwanamke sikuweza kumtambua haraka maana alikuwa kakaa mezani katoa nguo za chini kaamuangalia mwanaume aliyeshusha suruali kidogo, kama ka mlegezo fulani hivi, alafu mwanamke anafanya action ya kujisukumiza kwa mwanume , niliishiwa mood nikasema na hivi ni weekend ngoja naichek hii movie, nikasikia kama mtu anakuja msalani nikatoka haraka nikarudi kwenye seat ile, baadae naona mlango unafunguliwa kidogo kidogo kama wanachungulia, eee kuangalia ni mke wa jiran yangu, kaka yangu ,rafiki yangu,

tokea jumapili mpaka now najiuliza inakuiwaje, tena mi ndo nimemfuata kaka airpot leo kafika , ila sikumwabia kitu, ila nadhani kahisi jambo maana kama vile sikuwa sawa,

mimi sijui nimwambie sijui niwaache?
maana huyu mwanaume ndo alikuwa anamsapoti ata kwenye ada SUA, kamlipia mama yake alikuwa na kesi kidogo nyumba yake iuzwe , kamlipia million 7 na kumaliza kesi, anasaidia wadogo zake mke wake, lakini haridhiki,

shemeji yangu alikuwa na aibu kuniangaliaq usoni , ila leo kapiga simu eti ana mazungumzo na mimi kabla sijaongea chochote na mme wake,

kwakweli nahisi huyu kaka akija kujua nilijua nikamficha itakuwa shida, maana ipo siku mwanamke anaweza fanya jambo akawekwa mtu kati akasema nisamehe hata shemeji ..... anajua alitukuta,

lakini nahisi ikimshauri ntavunja ndoa,
 
Ngja niweke mambo sawa hapa

nakmbuka niliwah tongozwa na mke wa Jamaa langu kabisaaa kabla ya ktoa majbu ikabd nimshirkishe Best wangu ambaye huwa tunaeneza Group i mean watu wa3 Hyu jamaa yangu akasema Gonga maana ukimkataa Atamwambia jamaa kuwa umemtongoza na Jamaa/mume wake alkuwa kasafr kama miez 3 hv

Nikaona isiwe kes na Hyu mume/jamaa ytu alkuwa Boya sana kwa mke Yaan wa upendo wa kiwango cha juu

Nikaona isiwe kes nitamwambia tu liwalo na liwe Mara paap akarud nikwambia kila ktu aamn asiamn atajijua ili me nshamwambia

Alvyorud nilmwambia mwanzo mwisho Na akawepo Dgo mmoja hv akawa anamthibitishia na sms za ushahd nikamuonyesha,

Lakin jamaa alsamehe lakin Ndoa haikudum Na maana Mke alishangaa urafk wangu kwake ukawa mkubwa na kuniona mm ndo rafk wa kwl kwake kmbe skutongozwa peke yangu Weng waligonga had mama wa mwanaume aljua kuwa mama mkwe wake ni malaya lakin akavunga ili tu asionekane amevunja nilvyomwambia mm ndo kila mtu akapata ujasr wa kumwambia Alimchkia kila mtu aliye jua lakin hakumwambia had mama yake sku hz Hazpand


So Mtu anatendewa unyama ukakaa kimya na ww utakatendewa ubaya watu wakae kimya ili tu lile la Malipo ni hapahapa Dunian litimie


Sema ili yye ndo achague Kama hataamn sawa ili mrad ww umeshasema na aspo amn sku atakuja kuona mwenywe usishangae akaja kukuomba msamaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom