Nimemaliza kuongea na Rafiki yangu anayeishi Marekani, Ananiambia 'we are still working from home beacuse of Corona, America is becoming boring place'

Wewee jamaa wewee hata historia huijui. Kasome habari za wafalme huko tena wale waliobarikiwa zaidi uone kama hawakutesa na kuua maelfu kwa maelfu na bado Mungu aliendelea kuwabariki.
Kulikuwa na sababu za kufanya hivyo kipindi hicho,zama hizi hakuna aliyetumwa na Mungu kuua na kutesa viumbe wake!
 
Hatukuwa tunaufahamu ugonjwa wa Corona kwani ulikuwa mgeni na ndio maana kadri muda ulivyosogea ndivyo wataalamu wakazidi kutoa taarifa zaidi kwa kile wanachokigundua juu ya kuenea kwa ugonjwa huo!
Kuna nchi kama brazili wala hawakuwa na hofu na rais wao alifanya kama sisi,matokeo yake imewateketeza sana!
Kuna nchi za Africa ambazo hazikupata kisa hata kimoja!Kiufupi Africa haijaathiriwa sana na Corona,na hii inaweza kuwa sababu ya kijiografia au watu wa maeneo hayo wana immune kubwa by nature!
Burundi wakati sisi tumefunga shule na kusimamisha michezo wao walikuwa wanaendesha kampeni za uchaguzi na hawakuchukua hatua za kujikinga maana misongamano ilikuwa mikubwa!Wao nao wamevuka hili la Corona salama!
Tusidanganyane hapa eti tumetumia mbinu za kisayansi badala yake ukweli ni kwamba tulikuwa tayari kwa matokeo yoyote na tukaamua liwalo na liwe!
 
Don't use a noun and a pronoun together. Magufuli(noun)+ he(pronoun) is incorrect, rather Magufuli is...., or He is.....!

Ni maono tu ya mheshimiwa, ilà naamini matumizi ya limao, tangawizi nk vilitusaidia sana.
 
Kulikuwa na sababu za kufanya hivyo kipindi hicho,zama hizi hakuna aliyetumwa na Mungu kuua na kutesa viumbe wake!

Kama waamini hivyo sawa, ila sidhani kama Mungu wa kipindi chao ni wa tofauti na Huyu wa kipindi chetu.
 
..Ni bahati ya mtende.

..kwasababu kama ni kumuomba MUNGU, wazungu ndio waliotuletea habari za MUNGU tuliyemuomba.

..sasa imekuaje wao waliotu-introduce kwa MUNGU waathirike kuliko sisi?
Kwa asili mwanadamu ameumbwa na utambuzi wa asili wa uwepo wa Mungu, namna za kumuabudu na kumtafuta ndizo zilitofautiana.. So, kusema wametutambulisha kwa Mungu ni makosa na kuamini uongo wa hao wajinga..
 
Kwa wenye imani na Mungu wataelewa na kumtukuza kwa jambo hilo.. Wapo wachache walioomba kwa dhati kbsa na Mungu aliwasikia, hata Rais hajawahi kujinasibu na sababu za kisayansi, zaidi amekuwa akimtukuza Mungu kwa hilo na kwa imani yake.. So, kama unaona ni kamari, well and good
 
Siku izi hakuna chama tawala wala upinzani, wote wanaamini TZ hakuna corona, na kama ipo basi sio ya kutisha kama ilivyo kwa wenzetu.

Mimi nahisi ni mazingira ya bara letu Afrika, maisha ya shida shida na vyakula tunavyokula ivi mara chipsi imepikwa kwenye mafuta ya transformer basi huenda miili yetu imekomaa kwa maradhi kama haya ya mafua na kikohozi mpaka yamekuwa kama kawaida.

Jambo jengine ni vile kutokuwa na khofu, asikwambie mtu, khofu mbaya. Wakati serikali ikiwa inatangaza wagonjwa, khofu ilikuwa kubwa. Yaani ukimuona mtu anakohoa tu, unawaza kwenda mbio na kumtenga. ukihisi kooni kuna kitu tu unaona corona hio hata kama ni ganda la njugu tu limekuganda.
 
Yaani idadi ya vifo ilifichwa lakini bado unaijua ni kubwa kuliko ya wengine, how!? Na unajiona umeelezaa
. Kwa wenye akili umewaonyesha upumbavu wako.. Ujanja na ujuaji juaji mwingi, mbele giza..
 
Yaani idadi ya vifo ilifichwa lakini bado unaijua ni kubwa kuliko ya wengine, how!? Na unajiona umeelezaa
. Kwa wenye akili umewaonyesha upumbavu wako.. Ujanja na ujuaji juaji mwingi, mbele giza..
Unafikiri ni watu wote walikuwa wajinga kama huyo aliyewaamuru wafiche? Ujinga kama huu lazima wapo wenye busara wanajitolea kuonyesha ukweli. Na ndiyo maana anatetemeka sana kuondolewa uchaguzi huu kwa sababu anajua madudu aliyofanya siri yatalipuka. Huyu siku ya kuondoka ndiyo ataishia pabaya sana kwani maadui aliotengeneza ni wengi mno japo wanamchekea kwa kijino cha pembe.
 
Wewe utakuwa kilaza mkuu duniani
 
Kwhyo ukiongea na mtu wa marekani tayar uzi!!!dah!hizi smart phone hizii....
 
Inamaana sisi ndio tunamjua sana Mungu kuliko hao wanaoangamia?Kwanini tujisifu kwa hilo?
 
Kama waamini hivyo sawa, ila sidhani kama Mungu wa kipindi chao ni wa tofauti na Huyu wa kipindi chetu.
Mungu wa kipindi hicho angekuwa ameshashusha gharika kwani yanayotokea leo ni zaidi ya sodoma na gomola!
Yes,Mungu amekuwa na huruma sana na binadamu zama hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…