Nimelogewa MMU?

Sharo hiphop

JF-Expert Member
May 17, 2011
660
99
Nawasalimu wapenzi.


Mimi ni mmoja kati ya maelfu ya members wa Jf, lakini pamoja na kuwa na majukwaa kibao mimi nahisi nimepagawa na hii forum ya MMU, Na huwa najiuliza mi niko mwenyewe au kuna wenzangu wengine?



Nikiingia tu jf, moja kwa moja MMU, kidogo 4tos na jokes, lakini 75% ya muda wangu mwingi niko humu! Nisaidieni nina tatizo, niko mwenyewe au nina wafuasi?


mezaniiiiiiií!!!!!
 
Uko peke yako, wenzio 2kiingia jf 2naanzia kwa siasa tunajipa mastress weee hlf 2narudi mmu stress free zone.
 
probably the best jukwaa in jf......!and so do i.
tumetoka nalo mbali sana.amani kwako mbu,mj1 na asprin!

special acknowledgements kwa finest,lizzy,afrodenzi,bigirita,king'ast,lilyi
flower,kimey,roya,rose,askofu,kaiser,mwanakijiji,bubuatakakusema,nyamayao,fidel,nyaningabu,pretta,piijeei,bht,acid na mtm,sipo,et all!nadhan mwakumbuka how lovely was mmu
 
probably the best jukwaa in jf......!and so do i.tumetoka nalo mbali sana.amani kwako mbu,mj1 na asprin!special acknowledgements kwa finest,lizzy,afrodenzi,bigirita,king'ast,lilyiflower,kimey,roya,rose,askofu,kaiser,mwanakijiji,bubuatakakusema,nyamayao,fidel,nyaningabu,pretta,piijeei,bht,acid na mtm,sipo,et all!nadhan mwakumbuka how lovely was mmu
nina wasiwasi na baadhi ya members nyaningabu akiwa mojawao, bila kumsahau ashadii.
 
probably the best jukwaa in jf......!and so do i.tumetoka nalo mbali sana.amani kwako mbu,mj1 na asprin!special acknowledgements kwa finest,lizzy,afrodenzi,bigirita,king'ast,lilyiflower,kimey,roya,rose,askofu,kaiser,mwanakijiji,bubuatakakusema,nyamayao,fidel,nyaningabu,pretta,piijeei,bht,acid na mtm,sipo,et all!nadhan mwakumbuka how lovely was mmu
Yani sisi ndio hatupati amani?!Nwy Te amo....
 
Wengi huku huwa tunajichanganya kwenye majukwaa yote. Lakini mwisho wa yote tunarudi hapa hapa nyumban
 
probably the best jukwaa in jf......!and so do i.tumetoka nalo mbali sana.amani kwako mbu,mj1 na asprin!special acknowledgements kwa finest,lizzy,afrodenzi,bigirita,king'ast,lilyiflower,kimey,roya,rose,askofu,kaiser,mwanakijiji,bubuatakakusema,nyamayao,fidel,nyaningabu,pretta,piijeei,bht,acid na mtm,sipo,et all!nadhan mwakumbuka how lovely was mmu
TeamoBila kukusahau wewe mfalme wa Amani...Sante mkuu ..
 
amani tele mkuu ad na lizzy.....!

mmu was then!....we love them new members all the way though
 
probably the best jukwaa in jf......!and so do i. tumetoka nalo mbali sana.amani kwako mbu,mj1 na asprin! special acknowledgements kwa finest,lizzy,afrodenzi,bigirita,king'ast,lilyi flower,kimey,roya,rose,askofu,kaiser,mwanakijiji,bubuatakakusema,nyamayao,fidel,nyaningabu,pretta,piijeei,bht,acid na mtm,sipo,et all!nadhan mwakumbuka how lovely was mmu

heshima yako mkuu....napenda kutambua uwepo wako mahali hapa saa hii.....ni kweli MMU tumetoka nayo mbali sana na kutufanya tuwe kama familia......ni jambo la kushangaza lakini ukweli ndio huo kwamba MMU ni zaidi ya keyboards......shukrani za pekee ziwaendee wapenzi wote wa MMU......kwa kutuwezesha wengine wetu kutengeneza marafiki wapya na zaidi kuwa ndugu wa karibu
 
Back
Top Bottom