5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Mpaka najishangaa,
Baada ya mambo yangu kubuma nimekua naonea sana watu wivu,
Yaani kama kusoma nimesoma shahada ninayo lakini akitokea mtu akanielezea mafanikio yake roho inaniuma sana,
Yaani mtu nimesoma naye au nimemzidi elimu nikiona anamafanikio roho inaniuma
Jana jioni kwenye kijiwe cha kahawa kulikua bwana mdogo tu anasimulia kuwa yeye ni dereva na analipwa 1.2M per month dah niliposikia hivyo roho iliniuma sana. Nikataka hadi kumpiga,
Hii dunia bora iishe tu maana watu wengine tumekuja kama kutalii tu hatuna la maana,
Jana asubuhi nimekutana na jamaa nilisoma naye chuo lakini yeye alinitangulia mwaka mmoja chuoni,
Yule bwana alinipa story kua ameajiriwa kwenye shirika fulani analipwa 900k
Daah yaani iliniuma nyie. Yaani usiku mzima wa jana sijalala namuwaza jamaa ukizingatia mimi maisha yangu magumu tu!
Kitendo cha jamaa kuniambia analipwa 900k kimeniuma sana kwakweli
Ipo siku tu.
Baada ya mambo yangu kubuma nimekua naonea sana watu wivu,
Yaani kama kusoma nimesoma shahada ninayo lakini akitokea mtu akanielezea mafanikio yake roho inaniuma sana,
Yaani mtu nimesoma naye au nimemzidi elimu nikiona anamafanikio roho inaniuma
Jana jioni kwenye kijiwe cha kahawa kulikua bwana mdogo tu anasimulia kuwa yeye ni dereva na analipwa 1.2M per month dah niliposikia hivyo roho iliniuma sana. Nikataka hadi kumpiga,
Hii dunia bora iishe tu maana watu wengine tumekuja kama kutalii tu hatuna la maana,
Jana asubuhi nimekutana na jamaa nilisoma naye chuo lakini yeye alinitangulia mwaka mmoja chuoni,
Yule bwana alinipa story kua ameajiriwa kwenye shirika fulani analipwa 900k
Daah yaani iliniuma nyie. Yaani usiku mzima wa jana sijalala namuwaza jamaa ukizingatia mimi maisha yangu magumu tu!
Kitendo cha jamaa kuniambia analipwa 900k kimeniuma sana kwakweli
Ipo siku tu.