ni muda mrefu toka tumeonana mara ya mwisho,
Leo nimeonana nae lkn hanikumbuki kabisa.,me namkumbuka cz nili-fall kwake but I failed to tell her ,how I felt. Tumeongea kwa kirefu ,trying to remind her , hapa na pale. At last najikuta nataka use this opportunity kumwambia ukweli, sitaki kukumbana na rejection tena ,coz i have been rejected several times mpaka nahisi nimerogwa. Ni siku 3 zimepita toka tumekutana ,nifanye nini ili this time nisikumbane na rejection cz nimechoka hizi rejection. Jaribu kuwa na hisia za kukataliwa na almost every woman you have come accros ndo utajua namaanisha nini. Ahsante kwa msaada.....
Since nimemuona najisiki furaha lkn huzuni huanza pale ninapoona kama atanitendea kama wengine,hakuna hisia mbaya kama kujihisi "insecure"
Ningekuwa mdogo kiumri isingekuwa shida but i m 27yrs old,
No jokes,if you think you can't help just pass....
Leo nimeonana nae lkn hanikumbuki kabisa.,me namkumbuka cz nili-fall kwake but I failed to tell her ,how I felt. Tumeongea kwa kirefu ,trying to remind her , hapa na pale. At last najikuta nataka use this opportunity kumwambia ukweli, sitaki kukumbana na rejection tena ,coz i have been rejected several times mpaka nahisi nimerogwa. Ni siku 3 zimepita toka tumekutana ,nifanye nini ili this time nisikumbane na rejection cz nimechoka hizi rejection. Jaribu kuwa na hisia za kukataliwa na almost every woman you have come accros ndo utajua namaanisha nini. Ahsante kwa msaada.....
Since nimemuona najisiki furaha lkn huzuni huanza pale ninapoona kama atanitendea kama wengine,hakuna hisia mbaya kama kujihisi "insecure"
Ningekuwa mdogo kiumri isingekuwa shida but i m 27yrs old,
No jokes,if you think you can't help just pass....