Hali tete watu wanapambana haha
Sasa huo mkojo unakua wa nani au wao wenyewe? wana moyoooo mie kuuona staki seuze kuunywa yakkkk,Aisee naona wanapongezana and wanafanya siri
Enhee na chumvi sjui vitu gani... Nina wasiwasi waganga wa kienyeji wamegundua fursa ipo kwenye technology! Uko vibandani watu hawaendiInstagram hiyoo mambo ipo sanaaa ..kuna kojo ,chumvi nk ..
Kwa mtazamo wangu naona kama uchawi flani hivi..
ha ha ha dadeki mbna tutavurugwa sana aisee dah ila mna moyo sana wadada wa siku hiziIla naskia Ukinywewa kojo hufurukuti haha.. Spati picha unywewe n watatu inakuaje