Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,223
..
Hadithi yako inatufundisha nini we mzinzi? Hujui kuwa wazinzi, waasherati, wafilaji, waongo, waabudu sanamu, walevi, wachawi na wezi hawataurithi uzima wa milele? Pia kumbuka Kuna UKIMWI na pia kuna maisha baada ya kifo. Jiandae sasa kwa maisha yako ya baadaye. Acha ngono zembe na unaonekana u mshamba sana unajisifia ngono. Pia kesho ni fumbo ila umilele umekaribia.
Usishangae, hii dunia Ina mengi sana[emoji3525]
Samahani, huyo kwenye picha ni ww?mwanaume wa kumuamini ni BABA AKO MZAZI [emoji1431]
Sina la kukuambia, Ila poleHadithi yako inatufundisha nini we mzinzi? Hujui kuwa wazinzi, waasherati, wafilaji, waongo, waabudu sanamu, walevi, wachawi na wezi hawataurithi uzima wa milele? Pia kumbuka Kuna UKIMWI na pia kuna maisha baada ya kifo. Jiandae sasa kwa maisha yako ya baadaye. Acha ngono zembe na unaonekana u mshamba sana unajisifia ngono. Pia kesho ni fumbo ila umilele umekaribia.
Tuliza boluNdo uzi tayar?
Aunt yakoSamahani, huyo kwenye picha ni ww?
Nina jambo, naomba kujua wal usiwe mkali.Aunt yako
MsalimieAunt yako
Hili kundi haupo kabisa?Hadithi yako inatufundisha nini we mzinzi? Hujui kuwa wazinzi, waasherati, wafilaji, waongo, waabudu sanamu, walevi, wachawi na wezi hawataurithi uzima wa milele? Pia kumbuka Kuna UKIMWI na pia kuna maisha baada ya kifo. Jiandae sasa kwa maisha yako ya baadaye. Acha ngono zembe na unaonekana u mshamba sana unajisifia ngono. Pia kesho ni fumbo ila umilele umekaribia.
Uzinzi na uasherati unajua maana yake mpk ujihakikishie kwmb jamaa kafanya uzinzi ama uasherati Mkuu!! Hivi nyie watu mnaoamini maisha baada ya kifo mko timamu kweli nyieHadithi yako inatufundisha nini we mzinzi? Hujui kuwa wazinzi, waasherati, wafilaji, waongo, waabudu sanamu, walevi, wachawi na wezi hawataurithi uzima wa milele? Pia kumbuka Kuna UKIMWI na pia kuna maisha baada ya kifo. Jiandae sasa kwa maisha yako ya baadaye. Acha ngono zembe na unaonekana u mshamba sana unajisifia ngono. Pia kesho ni fumbo ila umilele umekaribia.
Tuishie kuitana Mkuu bas mzee,fake IDS everywhereSamahani, huyo kwenye picha ni ww?
Nakusaidia ili kusumbua watu uyo ni cardi B, famous American female Rapper,asa km na huyu humjui funga uzi ukalaleNina jambo, naomba kujua wal usiwe mkali.
Ba'mjoli anataka atambae na ukali sio [emoji1787][emoji3]Nakusaidia ili kusumbua watu uyo ni cardi B, famous American female Rapper,asa km na huyu humjui funga uzi ukalale
Sent using Jamii Forums mobile app