Nimekunywa soda chafu..!!?

Nimekunywa soda chafu..!!?

Chimemena

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
1,376
Reaction score
453
Ndugu wanaJF dakika chache zilizopita nimeenda dukani kununua soda ya STONEY TANGAWIZI, ila cha kushangaza nikiwa nakunywa ghafla nikashtuka kuona ndani ya soda kuna kizibo kimekunjwa na kinaonekana kimeshka kutu. Nikaamua kumimina soda kwenye bakuli naye pia nikaona ina rangi ya kikahawia inayoambatana na kuchafu mweusi.!! Nipo cross road wandugu juu ya afya yangu sijui hata nifanyeje!? Kuweni makini na hz soda si salama salimini.
 
Ndugu wanaJF dakika chache zilizopita nimeenda dukani kununua soda ya STONEY TANGAWIZI, ila cha kushangaza nikiwa nakunywa ghafla nikashtuka kuona ndani ya soda kuna kizibo kimekunjwa na kinaonekana kimeshka kutu. Nikaamua kumimina soda kwenye bakuli naye pia nikaona ina rangi ya kikahawia inayoambatana na kuchafu mweusi.!! Nipo cross road wandugu juu ya afya yangu sijui hata nifanyeje!? Kuweni makini na hz soda si salama salimini.

picha ya tukio nawatumia muda si mrefu.
 
pole sana mkuu.
kama upo safarini nakuonea huruma maana itabidi ukatishe safari coz utakuwa pia nawe unaendesha piki piki yako lol....
 
pole sana mkuu.
kama upo safarini nakuonea huruma maana itabidi ukatishe safari coz utakuwa pia nawe unaendesha piki piki yako lol....

Ahsante ndugu yangu, but sipo safarini nipo home nacheck game ya Arsenal na Liverpool still naogopa kiafya.!
 

Attachments

  • Soda.jpg
    Soda.jpg
    10.4 KB · Views: 150
Pole sana kiongozi. Laiti ungekuwa umekunywa usiku/sehemu yenye giza kwa kutumia mtindo wa tarumbeta nadhani hicho kizibo kingekuletea madhara mara mbili!
 
pole sana, miaka kadhaa nyuma kwenye 2007 hivi nilikunywa stone tangawizi, nikaiona ya ajabu, nilipoimimina kwenye glass nikakuta sponge.

Toka siku hiyo nimepunguza sana kunywa soda, na ninapokunywa huwa naichunguza kwanza
 
Ahsante ndugu yangu, but sipo safarini nipo home nacheck game ya Arsenal na Liverpool still naogopa kiafya.!

pole, ila uchafu uko wp mbona siuoni maana naona chupa, vizibo na sahani!!! nidadavulie kaka
 
pole sana, miaka kadhaa nyuma kwenye 2007 hivi nilikunywa stone tangawizi, nikaiona ya ajabu, nilipoimimina kwenye glass nikakuta sponge.

Toka siku hiyo nimepunguza sana kunywa soda, na ninapokunywa huwa naichunguza kwanza

for long tym nilikuwa sijanywa soda nikasema ngoja leo ninywe leo yakaibuka hayo. I swear to my Dog sitakunywa tena haya masoda.!
 
Ndugu wanaJF dakika chache zilizopita nimeenda dukani kununua soda ya STONEY TANGAWIZI, ila cha kushangaza nikiwa nakunywa ghafla nikashtuka kuona ndani ya soda kuna kizibo kimekunjwa na kinaonekana kimeshka kutu. Nikaamua kumimina soda kwenye bakuli naye pia nikaona ina rangi ya kikahawia inayoambatana na kuchafu mweusi.!! Nipo cross road wandugu juu ya afya yangu sijui hata nifanyeje!? Kuweni makini na hz soda si salama salimini.

wana sheria tuambieni kama kuna uwezekano wa kuwafungulia mashtaka hiyo kampuni inayozalisha hiyo soda na jinsi gani ya kuifadhi kithibitisho?
 
me ni wakili ambulance chaser vipi upo tayari twende tuandike demand letter tupewe pesa.
cha kufanya kesho mrng nenda hospital mwambie daktari akuandikie unaumwa tupo na umepata tatzo ili tuwe na cause opf action ni pm nkusaidie
 
wana sheria tuambieni kama kuna uwezekano wa kuwafungulia mashtaka hiyo kampuni inayozalisha hiyo soda na jinsi gani ya kuifadhi kithibitisho?

Chitemo wa Makanga kuryaku LIKES your COMMENT.!
 
Ingekua ulaya ungeishtaki kampuni husika na ukalipwa pesa nyingi sana tu. Bongo kimeo tupu.
 
me ni wakili ambulance chaser vipi upo tayari twende tuandike demand letter tupewe pesa.
cha kufanya kesho mrng nenda hospital mwambie daktari akuandikie unaumwa tupo na umepata tatzo ili tuwe na cause opf action ni pm nkusaidie

Janja Pori imekula kwenu maana mie ni mwanasheria wa kampuni inayozalisha hiyo soda ya stoney tangawizi. Nitathibitisha kuwa mteja wako hajapata madhara yoyote kutokana na soda aliyokuwa ila wewe ndio umemfundisha kusema uongo ili alipwe. Hahahahahaaa you are not a good ambulance chaser!
 
Pole sana ndugu yangu. Mi nilishaacha siku nyingi kunywa soda au bia kwenye chupa ambazo mteja anarudisha na zinarudishwa kiwandani kujazwa upya. Kuna rafiki yangu alikunywa bia nusu mafuta ya taa. Jaribu kunywa walau ya kopo na bia ambazo chupa zake ni hazirudishwi.
 
kunywa soda zote lakin si stone tangawizi,nilikuwa nazipenda sana hizo soda lakini baada ya kutokewa na tukio kama lako few days ago nikaziacha kabisa,nadhani hawako makini hao jamaa
 
for long tym nilikuwa sijanywa soda nikasema ngoja leo ninywe leo yakaibuka hayo. I swear to my Dog sitakunywa tena haya masoda.!

inaelekea unampenda sana mbwa wako mpaka umeamua kumgeuza Mungu khaa..
 
me ni wakili ambulance chaser vipi upo tayari twende tuandike demand letter tupewe pesa.
cha kufanya kesho mrng nenda hospital mwambie daktari akuandikie unaumwa tupo na umepata tatzo ili tuwe na cause opf action ni pm nkusaidie

kweli wewe ndo JANJA PORI.
 
Janja Pori imekula kwenu maana mie ni mwanasheria wa kampuni inayozalisha hiyo soda ya stoney tangawizi. Nitathibitisha kuwa mteja wako hajapata madhara yoyote kutokana na soda aliyokuwa ila wewe ndio umemfundisha kusema uongo ili alipwe. Hahahahahaaa you are not a good ambulance chaser!

piga kimya tutakupa chochote
 
Back
Top Bottom