Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,835
Mabibi na mabwana, salaam.
Nimeota ndoto nimemtembelea ex girlfriend wangu nyumbani kwake, akanichomea nyama ya mbuzi na akanipa ile pombe ya Japan yenye 🐍 nyoka ndani.
Nikala, nikanywa, nikalewa, wakaja na wenzake tukaanza kufanya ngono, nawafanya wore watatu. Nimeamka nimelewa kabisa, kichwa kinanigonga vibaya Sana, na nimechoka Sana.
Hi ndoto Ina maana gani? Pili, iweje mazingira ya ndotoni yaniathiri mwili!?
Naomba hekima na busara zenu.
NB:- This sheet is very serious, please take it seriously
Nimeota ndoto nimemtembelea ex girlfriend wangu nyumbani kwake, akanichomea nyama ya mbuzi na akanipa ile pombe ya Japan yenye 🐍 nyoka ndani.
Nikala, nikanywa, nikalewa, wakaja na wenzake tukaanza kufanya ngono, nawafanya wore watatu. Nimeamka nimelewa kabisa, kichwa kinanigonga vibaya Sana, na nimechoka Sana.
Hi ndoto Ina maana gani? Pili, iweje mazingira ya ndotoni yaniathiri mwili!?
Naomba hekima na busara zenu.
NB:- This sheet is very serious, please take it seriously