Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,136
- 55,605
Ngoja nije nikuchukueWeka namba nikutumie
Ngoja nije nikuchukueWeka namba nikutumie
Usiku huu twende wapiNgoja nije nikuchukue
Tukashangae yale mataa yanayowaka na kuzimaUsiku huu twende wapi
Mmm naijua hiyo 🤤Tukashangae yale mataa yanayowaka na kuzima
Tangazo lipo kiakili sana hili🤣🙌 asilione RazorbladeKuna mtu atakwambia lipia tangazo
Tangazo kama hili haliwezi kukamilika bila kuambatanisha namba ya simu😎Kwanza niwasalimie ,shikamooni
Wadogo zangu,marhaba.
Jamani ,nimewamiss Sana,Maria miye,nishaanza kuzoea huu mtandao, nilichogundua,huku ni wachache na ni rahisi watu kuchat kama familia,
Namiss kuitwa mwanaume 😂
Khaaa yaani mtu hakujui,anakwambia huu mwandiko ni wa kiume ,duh huwa mnaniacha hoi.
Wengine mara najiuza,wakati huo Nina mwaka wa tatu jijini simjui mwanaume,yaani nimeamua kutofanya mapenzi, kwani vitu vingine vinawezekana, sina mtoto,naishi Kwa wazazi kazi nafanya,sasa nidange ili iweje?
Karibuni tuchat
PoleTangazo kama hili haliwezi kukamilika bila kuambatanisha namba ya simu😎
Kaongo wewe!! Si juzi hapa ulikuwa wavuvi 😹Mbona sijawahi kwenda sehemu yoyote ya starehe dada😂
Mmmh ulinifananisha dear siyo mimKaongo wewe!! Si juzi hapa ulikuwa wavuvi 😹