IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
- Thread starter
- #21
Chumvini na kichwa cha bata bora nn?Shem punguza hasira, japo nakuunga mkono, mi pia sili kichwa cha kiumbe chochote, achilia mbali kukua/bata![]()
Ila kuna watu wanakula mpaka kichwa cha mdudu/noah (kitimoto). Sasa hebu kitafakari kichwa cha noah kilivyo, ilepua kama fuso, macho kama taa za benzi old model Mafua yasiokatika kwa kupekenyua vinyesi na uchafu.

na jibu langu au nsiripue shem?