Nimekula kichwa cha bata Leo...

Nimekula kichwa cha bata Leo...

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,027
Hapa maskani Nina kibwawa kidogo nafuga samaki kambale....nafuga na bata ambao nawatumia km sehemu ya kuimarisha mfugo wa kambale.
1.kinyesi chao ni chakula cha samaki wanavyoogelea.
2.wanafanya oxygen ipatikane kwa uraisi kwa samaki,cz wanavyoogelea maji hayatulii yanachezacheza usaidia mzunguko wa hewa kwa kambale.
Nimetoa ufafanuzi keupusha maswali kwann nafuga bata na samaki.
Direct kwenye hoja ya msingi tangu Niko mdogo niliaminishwa kichwa cha bata hakiliwi.
Leo nimevunja mwiko wadau ni nimekula ni kitamu sana hasa Yale madude usoni ni km unakula mayai...
Kiukweli sitatupa tena kichwa cha bata.
Jaribu na wewe kula husikariri maneno ya watu.
 
Hapa maskani Nina kibwawa kidogo nafuga samaki kambale....nafuga na bata ambao nawatumia km sehemu ya kuimarisha mfugo wa kambale.
1.kinyesi chao ni chakula cha samaki wanavyoogelea.
2.wanafanya oxygen ipatikane kwa uraisi kwa samaki,cz wanavyoogelea maji hayatulii yanachezacheza usaidia mzunguko wa hewa kwa kambale.
Nimetoa ufafanuzi keupusha maswali kwann nafuga bata na samaki.
Direct kwenye hoja ya msingi tangu Niko mdogo niliaminishwa kichwa cha bata hakiliwi.
Leo nimevunja mwiko wadau ni nimekula ni kitamu sana hasa Yale madude usoni ni km unakula mayai...
Kiukweli sitatupa tena kichwa cha bata.
Jaribu na wewe kula husikariri maneno ya watu.
Sema tu umekula amberruty mkuu
 
Kuna siku nilikibanja kichwa cha kuku kilichochemshwa yale makitu kitu mle nilijiapiza kichwa sitakua nakigusa hata kipikweje leo unilishe bata? Vile anavyochokora maj machafu na huku kwetu kuna majongoo makubwa meusi nikamuona bata analila awee hapana
Cha kuchemsha kitamu sana@ tatizo umekariri
 
Kuna siku nilikibanja kichwa cha kuku kilichochemshwa yale makitu kitu mle nilijiapiza kichwa sitakua nakigusa hata kipikweje leo unilishe bata? Vile anavyochokora maj machafu na huku kwetu kuna majongoo makubwa meusi nikamuona bata analila awee hapana
Kuku anakula vitu vichafu than bata,
 
Kuna siku nilikibanja kichwa cha kuku kilichochemshwa yale makitu kitu mle nilijiapiza kichwa sitakua nakigusa hata kipikweje leo unilishe bata? Vile anavyochokora maj machafu na huku kwetu kuna majongoo makubwa meusi nikamuona bata analila awee hapana
Shem punguza hasira, japo nakuunga mkono, mi pia sili kichwa cha kiumbe chochote, achilia mbali kuku/bata
Ila kuna watu wanakula mpaka kichwa cha mdudu/noah (kitimoto). Sasa hebu kitafakari kichwa cha noah kilivyo, ile pua kama fuso, macho kama taa za benzi old model Mafua yasiokatika kwa kupekenyua vinyesi na uchafu.
 
Hongera.

Mimi hata nyama tu ya bata sijawahi kula popote pale kwa siku yoyote ile.
 
Back
Top Bottom