Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Nenda Msikitini kama wewe ni Muislamu au nyumba zingine za ibada kama zipo wazi.
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepoa saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepo0a saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.
Kama ningekuwa wale wa pale Kawe au Mwenge njia panda ya chuo kikuu ningekuambia Ushindwe na .........hata hivyo hapo Moshi Ndugu yangu ni pabaya saana...kwenye kumbi za starehe kuna wasichana/wanawake wazuri saana.Ukibahatika kukutana na wa kutoka Machame au Marangu umekwisha.na utakuwa umekwisha kweli kweli.Nikushauri tu achana na starehe za hapo kama wewe ni mgeni
Nenda malindi
Ina maana wageni hawaruhusiwi kustarehe moshi?