gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,892
- 5,946
Sina hakika sana kama course hii inatolewa kama program inayojitegemea, mara nyingi huwa ni sehemu tu ya course ndani ya program zinazohusiana na biashara,masoko na zingine kama hizo.
Kwa issue hii unayohitaji wewe huwa wanatoa vigezo vya ujumla tu kama vile uwe una elimu ya kuanzia form 4/6, uwe na uwezo wa kuongea na kuandika kiswahili na kiingereza kwa ufasaha. Baada ya hapo huwa wanatoa special training zao kulingana na mahitaji ya wateja wao pindi wanapo wahudumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa issue hii unayohitaji wewe huwa wanatoa vigezo vya ujumla tu kama vile uwe una elimu ya kuanzia form 4/6, uwe na uwezo wa kuongea na kuandika kiswahili na kiingereza kwa ufasaha. Baada ya hapo huwa wanatoa special training zao kulingana na mahitaji ya wateja wao pindi wanapo wahudumia.
Customer service and caring nisawa kabsa ungenisaidia coz yake mkuu ningeshukur sanaa
from mudi kidato
Sent using Jamii Forums mobile app