shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
habari wadau.
hiii awamu niliishangilia sana wakati inaanza na hata kampeni nilikuwa upande wao. na nilimpigia kura tinga tinga aje aijenge nchi..
ila pamoja na yote nami naisoma namba kama mwana ccm na vyama vingine vyote wote tunanyooka
niliacha kazi mwez uliopita na nikaenda nssf kufungua madai wakaniambia nirudi leo.
leo nimeenda nssf kinondoni jibu nililopewa limenikatisha tamaa
nimekubali hii awamu tutaishi kama mashetani... haijalishi upo chama gani..
inauma lakini ndio ukweli ukiacha kazi mwenyewe ( resignation) awamu hii lazima uwe na saving ya kutosha. usitegemee mafao sijui nssf, ppf, lapf,pspf huko kote hawacheki na mtu ni mwendo wa kutoswa tu hela zako
nimeattach wimbo wa komba ccm mbele kwa mbele kama dedication kwetu wote tunaoisoma namba bila kupenda
hiii awamu niliishangilia sana wakati inaanza na hata kampeni nilikuwa upande wao. na nilimpigia kura tinga tinga aje aijenge nchi..
ila pamoja na yote nami naisoma namba kama mwana ccm na vyama vingine vyote wote tunanyooka
niliacha kazi mwez uliopita na nikaenda nssf kufungua madai wakaniambia nirudi leo.
leo nimeenda nssf kinondoni jibu nililopewa limenikatisha tamaa
nimekubali hii awamu tutaishi kama mashetani... haijalishi upo chama gani..
inauma lakini ndio ukweli ukiacha kazi mwenyewe ( resignation) awamu hii lazima uwe na saving ya kutosha. usitegemee mafao sijui nssf, ppf, lapf,pspf huko kote hawacheki na mtu ni mwendo wa kutoswa tu hela zako
nimeattach wimbo wa komba ccm mbele kwa mbele kama dedication kwetu wote tunaoisoma namba bila kupenda
