Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,800
- 26,621
😁😁 nzuri mkuu, Leo naona night umepata muda wa kututembeleayou nailed it,
Habari ya masiku
😁😁 nzuri mkuu, Leo naona night umepata muda wa kututembeleayou nailed it,
Habari ya masiku
Sina mazoea ya kupost wadada kwa status zangu , anyway utantumia yako niipost mkuuTafuta hata picha ya mwanamke mwingine mzuri Sana Kisha kesho ipost kwa status halafu kausha , fanya kumpost kwa picha zake tofauti hata Mara 5 kwa week ,then thanks me later

sorry kama sio FemaleMaana ake wee ulikua unadanga kwa uyo mwanamke,Mkuu yeye anasehem anafanya kazi so hizi petty expenses sio issue kwake, SIWEZI hudumia mwanamke ambaye Sina amani nae na piaa ye ni aina fulan ya wanawake wanopenda ku clear bills on their own ni kama wale wadada wanaotaka 50 50

Vijana wanakosea Sana kuwasema wapenz wao viby baada ya kuachana.Kabisa inataka uwe umevurugwa sana![]()

Sawa kaka hii ngoja ipitee ngoja husiano lijaloMi nadhani sio suala ya umri,
Ni suala la userious wako ktk mahusiano na kutekeleza wajibu wako Kama mwanaume.
I'm a man ,,shauri yako changamka , wanawake hawapendi watu waliozubaa zubaa ,hata Kama unpole jitahdi kuhakikisha masilahi yako hayaguswi kuwa mkali pale na uwe mwepesi wa ku-take action pale unapoona heshima yako inataka kuchezewaSina mazoea ya kupost wadada kwa status zangu , anyway utantumia yako niipost mkuusorry kama sio Female
Go on kakaHuu Uzi Kuna vitu vingi nataman kucomment ila nahs ntachafua Hali ya hewa humu.
Mtoa mada Kama uko willing na una kifua Cha kiume, Cha kupokea kila comment NIPE ruksa nitiririke tafadhar![]()
SanaaUtoto raha sana
Sawa kaka that's ur viewsMkuu akiamua kurudi utampokea Tu, uzi wako mzima ni kama unatoa sababu za kuishawishi nafsi yako kuwa hakustahili, upo sawa kabisaaa ila hiyo ni dalili nyingine kuwa bado upo deep kwake,
the moment utayokaa na kuona hujali kuhusu ubora au madhaifu yake, hapo ndio utaweza kumove on
Hapana kaka sio hivyo ila tu kujua ye ni mtu wa kupenda kujilipiaaa mambo yake so huwezi mlazimishaaMaana ake wee ulikua unadanga kwa uyo mwanamke,
Akiclear bill na wewe unabaki umeshangaa, unachekelea TU unaona ndio maisha au?![]()
Barnaba boy classicWanasema ukiachwa achika.......!

Sio hivyo na uzuri nikuwa sijaweka picha yakeeVijana wanakosea Sana kuwasema wapenz wao viby baada ya kuachana.
Hii tabia hata sio nzur![]()
🙏Sawa kaka that's ur views
Wanaume hatuko hivyo, huwezi kula Cha mwanamke 100% afu ukategemea kuendelea kuheshimika Kama mwanaume.Hapana kaka sio hivyo ila tu kujua ye ni mtu wa kupenda kujilipiaaa mambo yake so huwezi mlazimishaa
Haijalishi,Sio hivyo na uzuri nikuwa sijaweka picha yakee
Asante big broI'm a man ,,shauri yako changamka , wanawake hawapendi watu waliozubaa zubaa ,hata Kama unpole jitahdi kuhakikisha masilahi yako hayaguswi kuwa mkali pale na uwe mwepesi wa ku-take action pale unapoona heshima yako inataka kuchezewa


Endelea kakaMtoa mada una matatizo makubwa Sana kimahusiano.
Na huenda Wengi humu wameshayaona ila wameamua kuuchuna tu ili wasikukwaze au kukuharibia uzi wako.
Kwa maelezo yako mwnyw Umeandika una umri wa miaka 24,
ila maelezo yako ni Kama kijana alietoka balehe juzi, yaani miaka 18.
Ntafafanua zaidi![]()