LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Kama nimewakweza kwa kutuma thread mpya na hamkuipenda mamods mtanisamehe! ila nataka kujua kitu gani nimefanya wrong kutetea JF ktk kitu nilichoona very unethical! naomba sababu ya kuifuta thread yangu ambayo sikuona kama ina matataizo yoyote ktk kufunza jamii! na pia ningependa kutoa hoja kama mkiona thread haina au haifai hapa jamvini basi ingekuwa ni busara sana kuwajulisha waliotuma ili waelewe sababu ya threads zao kufutwa! hiyo ni busara sana!
Pia inasaidia kijifunza! next time mtu awe makini zaidi na atume sensible stuff accordingly! Lakini kwa mtazamo wangu kuzidelete threads bila taarifa haisaidii kwa sisi wafuasi wa JF! Guys kama ikiwezekana just use PMs! kama sisi wastaarabu tataelewa ila kuzifuta tu inaonyesha dharau na sio wote tunapenda tabia hii!Tunapenda JF basi tuonyeshane ustaarabu na tuelimishane! Thank you! NOT HAPPY CITIZEN, ONLY FOR TONIGHT AND GOOD NIGHT! nimechukia!
Pia inasaidia kijifunza! next time mtu awe makini zaidi na atume sensible stuff accordingly! Lakini kwa mtazamo wangu kuzidelete threads bila taarifa haisaidii kwa sisi wafuasi wa JF! Guys kama ikiwezekana just use PMs! kama sisi wastaarabu tataelewa ila kuzifuta tu inaonyesha dharau na sio wote tunapenda tabia hii!Tunapenda JF basi tuonyeshane ustaarabu na tuelimishane! Thank you! NOT HAPPY CITIZEN, ONLY FOR TONIGHT AND GOOD NIGHT! nimechukia!