dah ndgu yangu hapo no option tena,kes kama yako mwaka jana zlitokea kwa wat weng pia walofanya 2nd round,jamaa wakawa wanasema umechagua mwnyewe sio kosa lao,chakufanya subiria transfer window uandke barua au kama iko chuo ulchochagua kina koz unazoztaka utaenda kubadilisha..