Nimekosa Mke basi angalau Mwanamke

Nimekosa Mke basi angalau Mwanamke

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,682
Reaction score
14,067
Baada ya kutangaza kutafuta mke na kuambulia patupu,
basi.....
Natafuta angalau mwanamke/demu.
 
Pole, mwanamke kutafuta mitandaoni? Kihalisia mwanake akufaaye ni yule unayeonana katika mazingira/maeo yako unayokuwepo, mnaye kutana mara kwa mara, mnayebadilishana mawazo , umsome tabia yake, na ujilidhishe, mfuate na onane nae. Hapo utapata mwanamke. Uede wewe kama wewe usitumie cheo, umaarufu wala pesa, ukifanya hivo utapata mke bora!
 
HahaHahaha ata msichana, binti, yyte jamani mwenzenu anamfaa si kama kukosa kabisa
 
sijui nianze kuhudhuria mikesha mbona mwaka unaisha jamani,hii gundu au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom