Jamani hatimae nimeludi na mimi kutoka huko niliko kuwa nimetekwa na mtandao wa Vodacom, yaani ndugu zangu wana JF Vodacom sio watu wazuri hawana tofauti na waliomteka Boss wa msimbazi, story iko hivi nilivyo fika tu kijijini kwetu campuni ya Vodacom wakanivamia wakaniteka nikawa undernetwork, minala yote wakanikatia ilimradi tu nisijue habari zozote kuhusu nchi yangu, hatimae nimepanda Bunda Express hadi mjini kwetu sasa niko hulu, nimepewa ulinzi mzuri tu, mana sasa, tigo na Airtel wameingilia kati kuniwekea ulinzi, niko vizuri karbuni wana JF