mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
sina hamu nao..kuanzia huduma yao ya blackbery inanitesa mpaka nalia........kujiregister tu masaa mia.........iyo eatel mane sijawahi jaribu maana toka nazaliwa na kukuzwa hatukufundishwa kupokea vya bure.