Nimekoma kununua bando mtandao huu

Nimekoma kununua bando mtandao huu

Brightman Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
1,224
Reaction score
236
Wakuu na wadau wa mawasiliano hii kitu imeniumiza sana. Nimenunua bando (MB) nyingi toka airtel nikitarajia kutumia bando hizo muda wa mwezi mmoja lakini cha ajabu na cha kushangaza nikatumiwa sms kuwa bando hizo zitumike wiki moja; na mie najua bando hizo hazitaisha kwa muda huo. Nimekatishwa tamaa ya mimi kuendelea katika mtandao huu. Naomba ushauri nihamie mtandao upi wenye unafuu kwa upande wa gharama za internet. Nawasilisha....!
 
Kaka Airtel mpango mzima... Cjaona mtandao wenye kasi ya Internet zaidi ya airtel bongo nakushauri usihame
 
Natafakari ushauri wako mkuu.

Kwa kweli Voda ni habari nyingine maana unaunga 5GB kwa tsh 20,000 mwezi mzima but waweza kuitumia kwa matumizi madogo madogo mida ya mchana.
ukitaka kupakua muvee unaunga wajanja offer ya usiku then unategesha file zako kwa idm au torrents na kuiweka modem yako auto connection then unauchapa wa pono bila ya wasi wasi, kama net itakata itaja jiunga yenyewe wewe asubuhi unakusanya mavuno.
Haki ya mama hawa jamaa wamenifanya nistaafu kwenda cafee pale Mapipa kwa Salehe mwarabu.
 
Kwa kweli Voda ni habari nyingine maana unaunga 5GB kwa tsh 20,000 mwezi mzima but waweza kuitumia kwa matumizi madogo madogo mida ya mchana.
ukitaka kupakua muvee unaunga wajanja offer ya usiku then unategesha file zako kwa idm au torrents na kuiweka modem yako auto connection then unauchapa wa pono bila ya wasi wasi, kama net itakata itaja jiunga yenyewe wewe asubuhi unakusanya mavuno.
Haki ya mama hawa jamaa wamenifanya nistaafu kwenda cafee pale Mapipa kwa Salehe mwarabu.
Do! wenzetu mliobahatika kua na taaluma kubwa ya kutumia comp mnafaidi kweli,maana hua nakuoneeni choyo jinsi mnavyo fahamishana mambo,Ah lkn cc wengine tujuacho ni kufungua Facebook tu,Mbarikiwe sana!!!!!!
 
mwenyewe ni muathirika wa Airtel,tulizoea bundle ya 2500 unapewa 300MG kwa mwezi,siku wamebadili wahuni hawa MG 15 kwa Tsh.1500 mwezi mmoja
 
Back
Top Bottom