Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
mhh ukatulie ndoani usimletee mtoto wa watu mabalaa na haya mashairi yaendelee hivi hivi hata miaka kumi mbele. hapo kwa wasukuma ndio penyewe upole upo, unyenyekevu upo, ukarimu ndio penyewe, heshima kwa nduguzo na wazazi tele.hongera mungu akujalie
Sifa nampa muumba,aliemuumba kigori,
kamwe kwake sitoyumba,kama wana wa misri,
hata akina liyumba,kigori kwake makafri,
Mwaliko ukiupata,waambie na wengine,
sikutaka kuwaleti,chini wazazi wangu,
chini nao niliketi,kuhusu kigori changu,
mamangu alinileti,nijue maisha yangu,
Mwaliko ukiupata,waambie na wengine,
tabiaye sio kama,yule wa profu jei,
togwa taka boga mama,faidisha pedejei,
twanga pepeta mama,mwanamasanja jjei,
Ukiupata mwaliko,waambie na wengine,