katika nyumba watu wanaosali pamoja huishi pamoja.hiyo ni dalili mbaya. weka msimamo wazi usije kuwekewa sumu kwa sababu ya ujinga.Muulize keo taratiiiiibu,kwani ulipoamua kumuoa alitumia tunguli au upendo ulitawala.kama ndio hivyo asitafute shortcut; hazipo maana atakuja kudanganywa kumbe dawa alizopewa ni sumu ikakumaliza taratibu.Maana nami kwa namna fulani niliaathiriwa na ujinga huu toka kwa wamama