RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Mkuu, mimi sijaoa lakini nilishakutana na hivi vitimbwi mara kazaa mara kwenye mto kitandani mara mezani! karibu mara mbili lakini mara zote nikiona nilikuwa nachukia siwaambii wala sifanyi kitu ila nafukuza. Lakini siku zote nimekuwa nikijiuliza, hivi haya yataendelea hadi lini? Niliye naye sasa hivi ambaye ndo nimepanga kumuoa hapo mwakani na mwaliko kwa wanaJF ni lazima, nikiona anafanya vitu vya ajabu! namtafutia muda safi tunaenda sehemu tunakaa hapo hata siku mbili tunayamaliza, tena anajisikia vizuri.
Tatizo kubwa inawezekana ulishakuwa mtumwa wa kazi/pesa huna muda wa kutosha kukaa nyumbani, inakera sana hiyo! maisha yanakuwa siyo ya ndoa tena bali ni kutafuta pesa tu kila wakati which is totally different. Inabidi utafute muda kaa na mkeo ongea naye vizuri, fanyeni maombi mara kwa mara, jiwekeni wazi, muwe huru kuelezana mambo yenu ukifanya hivyo mkuu mtakuwa kama ndo mumeonana jana, mapenzi moto moto kaka.
Ni hayo tu, ila pole na hakuna haja ya kumkimbia au kumuacha au kununa, huyo ni mke wako wekeni sawa mambo yenu ya ndani hayoooo. Hapa kuna mazuri na mabaya kwa hiyo uwe makini tu, saa nyingine kuna ukweli unasemwa hapa sasa inabidi uupuuze au uufanyie kazi kwa faida ya familia yako.
Tatizo kubwa inawezekana ulishakuwa mtumwa wa kazi/pesa huna muda wa kutosha kukaa nyumbani, inakera sana hiyo! maisha yanakuwa siyo ya ndoa tena bali ni kutafuta pesa tu kila wakati which is totally different. Inabidi utafute muda kaa na mkeo ongea naye vizuri, fanyeni maombi mara kwa mara, jiwekeni wazi, muwe huru kuelezana mambo yenu ukifanya hivyo mkuu mtakuwa kama ndo mumeonana jana, mapenzi moto moto kaka.
Ni hayo tu, ila pole na hakuna haja ya kumkimbia au kumuacha au kununa, huyo ni mke wako wekeni sawa mambo yenu ya ndani hayoooo. Hapa kuna mazuri na mabaya kwa hiyo uwe makini tu, saa nyingine kuna ukweli unasemwa hapa sasa inabidi uupuuze au uufanyie kazi kwa faida ya familia yako.