Nimekaa nimejiridhisha huko serikalini hakuna problem solvers

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,723
Reaction score
11,934
Mjadala wowote unaohusu kupambanisha dini kwenye masuala mapana ya kitaifa haupaswi kuungwa mkono kwa namna yoyote ile.

Nimejiuliza sana hivi hizi Taasisi kukanusha Habari zenye Ukweli kuwa ni Uongo ni kwa faida au kumlinda nani..?

Tuwe makini kuna ajenda ya udini inasikumwa ku divide and Rule.
 
Kuna Mtandao wa kipuuzi sana Tanzania, na utamu wa keki ya Taifa umewanogea, na hawataki kuona wengine wakiifaidi,wanasema bora tukose wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…