juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,227
- 7,552
Hili tatizo leo lilikuepo..the same kesi imenikuta...lakini kesho naamini watarudisha bando za watu...lakini pia ilitokana na mabadiliko ya vifurushi...Sasa ivi kwa 1000 unapata dk100 ..SMS ...500 na MB 10......kwa siku tatu..
Hope Vodacom wataturudishia MB zetu mkuu
Hope Vodacom wataturudishia MB zetu mkuu