Mipango mingine ya kitoto kweli, yaani mpaka wiki iishe kutakuwa na watu wanajisajili kila siku na kuandika kuwa wanajitoa Chadema ......wengine hata hapa jamvini ukiangalia waliowahi kuandika kitu gani chenye substance huwezi kukuona , ila wanafikiri na wao ni w u muhimu ...........mipango ya kitoto kama ule mchezo wa KOMBOLELA ....