Nimejikuta kando ya Bonge la Tipwa tipwa

Nimejikuta kando ya Bonge la Tipwa tipwa

We jamaa full vituko[emoji28][emoji28]
Baada ya kupiga kazi ya kusaka mkate nikaenda 900 (usishangae ni bar inaitwa 900 itapendeza kama msemo wa Dr. Shika) ndo bar kubwa hapa Kibondo nikapiga bia kadhaa sasa naamka nakuta kuna bonge la dada kando ya kitanda anakoroma balaa kama jenereta hata sijui amekujaje.

Thank God nimeamka na nguo zangu mwilini na mkanda kiunoni na yeye yupo full suited.

Gambe sio poa kabisa aisee

Usichangie chochote.!!![emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]View attachment 1129574View attachment 1129575
 
Back
Top Bottom