EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Baada ya kupiga kazi ya kusaka mkate nikaenda 900 (usishangae ni bar inaitwa 900 itapendeza kama msemo wa Dr. Shika) ndo bar kubwa hapa Kibondo nikapiga bia kadhaa sasa naamka nakuta kuna bonge la dada kando ya kitanda anakoroma balaa kama jenereta hata sijui amekujaje.
Thank God nimeamka na nguo zangu mwilini na mkanda kiunoni na yeye yupo full suited.
Gambe sio poa kabisa aisee
Usichangie chochote.!!![emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]
Thank God nimeamka na nguo zangu mwilini na mkanda kiunoni na yeye yupo full suited.
Gambe sio poa kabisa aisee
Usichangie chochote.!!![emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]