lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Habari zenu wadau,
Nimepokea ujumbe ukinitaka niende kwenye interview lakini tatizo sijajua hawa jamaa mitihani yao inafananaje.
Naomba kwa yeyote mwenye info wa mitihani ya hawa jamaa anijuze.
Thanks
Nimepokea ujumbe ukinitaka niende kwenye interview lakini tatizo sijajua hawa jamaa mitihani yao inafananaje.
Naomba kwa yeyote mwenye info wa mitihani ya hawa jamaa anijuze.
Thanks