Nimeitwa Viettel kwenye interview

Nimeitwa Viettel kwenye interview

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
Habari zenu wadau,

Nimepokea ujumbe ukinitaka niende kwenye interview lakini tatizo sijajua hawa jamaa mitihani yao inafananaje.

Naomba kwa yeyote mwenye info wa mitihani ya hawa jamaa anijuze.

Thanks
 
nahitaji kujifunza kitu hapa ngoja nifuatilie
 
Habari zenu wadau,

Nimepokea ujumbe ukinitaka niende kwenye interview lakini tatizo sijajua hawa jamaa mitihani yao inafananaje.

Naomba kwa yeyote mwenye info wa mitihani ya hawa jamaa anijuze.

Thanks

All the best mkuu
 
viettel wapi hao maana sasa nimeshajua naona watu walioiongelea ni hiyo ya Bibi TiTi tower, mimi ninayoijua ni ile ya mikocheni pale hakuna mtu mtanzania anayefanya kazi pale labda wale wafanya usafi na walinzi, ufanye uchunguzi kama ni hiyo ya mjini labda ndiyo hiyo ya matapeli wanaosema watu ila kama ile ya mikocheni nenda kapige interview mkuu
 
viettel wapi hao maana sasa nimeshajua naona watu walioiongelea ni hiyo ya Bibi TiTi tower, mimi ninayoijua ni ile ya mikocheni pale hakuna mtu mtanzania anayefanya kazi pale labda wale wafanya usafi na walinzi, ufanye uchunguzi kama ni hiyo ya mjini labda ndiyo hiyo ya matapeli wanaosema watu ila kama ile ya mikocheni nenda kapige interview mkuu

Asante kwa ushauri
 
Kijana nami nimeitwa but sms imefika nusu kama unaweza kunitumia ni PM plz. kwangu imeishia kwenye muda wa interview huko mbele ni incomplete
 
Kijana nami nimeitwa but sms imefika nusu kama unaweza kunitumia ni PM plz. kwangu imeishia kwenye muda wa interview huko mbele ni incomplete

We fika eneo la tukio then mambo mengine yote tutajua huko huko
 
Dah... hongera omba Mungu akutangulie bwana... confidence muhimu... all the best
 
Dear applicant, We are Viettel Tanzania Company (Egotel company), We deal with Telecommunication Company, We invite you to online test to join our company. Time duration for online test: 13.00 hrs include: IQ test, Microsoft Office Test and Professional Knowledge Test.when 16 july 2014 at 13:00 AM. Where: At the Institute of Finance Management (IFM), Block A, 4 floor, lecture theatre G and H,5 Shaaban Robert Street 11101 Dar Es Salaam. Lecture theatre G and H,Remember come with ID Card and copy of Certificate and calculator. You should invite your friends and family to apply through email: ViettelRecruitment@gmail.com and also attach xxxxxxxxx (Detail see Our Recruitment Anouncement in your email - we already send to your email). Best regards.PLZ ANSWER IF U COME OR I WILL REPLACE YOU TO SOMEONE EALSE...me kuna best angu kanitumia kua ameitwa.....sa cjui ndo hiyo......hapo ktk xxx ni email ya best angu.....kazi kwenu mloitwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom