Nimeitwa UNV

Nimeitwa UNV

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,738
Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.
 
unaonaje ukimuuliza huyo jamaa yako aliyeanza tokea 1998 mpaka leo yupo un? yeye atakuwa na info zaidi

kweli kabisa amuulize jamaa yake...... hongera kwa kuitwa unv ..............
 
Take it man and don't West it, nigga huwa unasain short contract but ziko so okay, unachukua up to 5 million per month, halafu kama bado ni kijana unaweza kupata un staff ambayo utakuwa umeyapatia maisha, coz salary yao ni up to 9000 $$ so kwa ushauri wangu don't waste it, but make sure English inapanda coz wako na interview ambayo sio ya kidogo... Goodluck
 
Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.

Mkuu unv niliapply mpaka leo hata hawajaniita,zaidi ya kunitumia newsletters za kila mwezi,na natamani kweli kujoin hii kitu,hebu nipe maujanja uliingiaje humo?
 
Kijana umejiandaaje kwenda kukabiliana na ugonjwa wa EBOLA?

Maana nakuona umejawa na shauku huku fikra zako zikiingiwa na matamanio ya fedha...


Hawapelekwi kwenye nchi za Ebola mkuu info zao zimeletwa hata hapa ofisini maana ni lazima tujirizishe na RAIA wetu....

Watanzania hawachangamkii fursa nimeona kwenye list Kenyans ni wengi mno
 
unaonaje ukimuuliza huyo jamaa yako aliyeanza tokea 1998 mpaka leo yupo un? yeye atakuwa na info zaidi

Umemjibu vizuri sana..naona jamaa alitaka kutueleza kuwa amepata hiyo nafasi ya UNV..
 
Hawapelekwi kwenye nchi za Ebola mkuu info zao zimeletwa hata hapa ofisini maana ni lazima tujirizishe na RAIA wetu....

Watanzania hawachangamkii fursa nimeona kwenye list Kenyans ni wengi mno

Wanapelekwa kuvoluntia nchi zipi sasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom