Jamaa yangu alikua hana kazi. Good morning wakamfuata wakamwambia kuna biashara/kazi inayolipa vzr huku. Jamaa kenda siku ya kwanza na ya pili. Jioni ya siku ya pili kaambiwa anunue saa ya 5m halafu baada ya muda atajikwamua na umaskini. Jamaa kabaki mdomo wazi. Kazi sina, hapa nimekuja kwa mguu, sijala mchana nina njaa na natakiwa nirudi Kimara kwa mguu halafu kirahisi tu mtu anakuambia tupe milioni tano. Yaani FIVE MILIONI TSHS




