Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,730
- 29,262
Thats rightHuyo kachanganya System Analyst na Business Analyst!
Thats rightHuyo kachanganya System Analyst na Business Analyst!
Ahsante mkuuUsivae shati la dafti, na tai usisahau kama unayo.
Sio kwelikama wewe sio mtoto wa kigogo nenda kapate experience tu ya interview position hizo hawapati watoto wa kajamba nani.
Umesema kweli mkuu yaani kwenye kampuni za kimataifa hatutambuliki kabisa.Mimi Kuna kipindi niliwah kufanya kazi Kenya yaani kampuni karibu zote kubwa wanaweka branches kule.Vizuri sana ukifanikiwa hata ukifanikiwa uje hapa utoe elimu maana watz wengi wakishaona kazi ya nje yenye competition au kwenye mashirika makubwa wanakimbia hatari. They take chances na huko nje kuna kazi nyingi, cha kushangaza wabongo hatuonekani ila watu wa asia na eastern europe na west africans na kwa EA wakenya. Wabongo tumelala tuko bize maneno kuliko vitendo
Umesema kweli mkuu yaani kwenye kampuni za kimataifa hatutambuliki kabisa.Mimi Kuna kipindi niliwah kufanya kazi Kenya yaani kampuni karibu zote kubwa wanaweka branches kule.
Na Kuna kipindi nilibahatika kwenda Dubai yaani kwenye maeneo ninayopita nikikutana na rangi nyeusi ni Watu wa Ghana tu.
Ukijitambulisha ni Mtanzania hata hawaijui utawasikia wanakuuliza tena"Is Tanzania in Kenya?
Yaani niliumia sana.
Hahahaha man unamlisha matango pori. Si kila analyst ni IT. Business analyst mara nyingini wenye professional ya BA..adminstartion. so apa umempeleka kwingine man
Ukitaka kuona / kuomba katika kampuni za kimataifa Hua wanatoaje matangazo Yao au unaomba VP? Ingekua vyema ukielezea japo kwa uchache inakuaje broUmesema kweli mkuu yaani kwenye kampuni za kimataifa hatutambuliki kabisa.Mimi Kuna kipindi niliwah kufanya kazi Kenya yaani kampuni karibu zote kubwa wanaweka branches kule.
Na Kuna kipindi nilibahatika kwenda Dubai yaani kwenye maeneo ninayopita nikikutana na rangi nyeusi ni Watu wa Ghana tu.
Ukijitambulisha ni Mtanzania hata hawaijui utawasikia wanakuuliza tena"Is Tanzania in Kenya?
Yaani niliumia sana.
Jiunge na mitandao wa linkedlin jisajili tengeneza connections na wadau ma HR ma CEO na makampuni huwa na accounts huko. Pia uwe unatembelea website zifuatazoUkitaka kuona / kuomba katika kampuni za kimataifa Hua wanatoaje matangazo Yao au unaomba VP? Ingekua vyema ukielezea japo kwa uchache inakuaje bro
Kwenye kuomba Mara nyingi watu huombea kupitia tovuti za makampuni binafsi. Huwa na utaratibu wa kujisajili na kujibu maswali machache, kuupload CV etcJiunge na mitandao wa linkedlin jisajili tengeneza connections na wadau ma HR ma CEO na makampuni huwa na accounts huko. Pia uwe unatembelea website zifuatazo
Mabumbe.
Kijiwe
Tayoa job portal.
Kuna watu hawatakuamin ila ndo ukwelikama wewe sio mtoto wa kigogo nenda kapate experience tu ya interview position hizo hawapati watoto wa kajamba nani.
Mkuu mkuu kule hilo tangazo uliliona kupitia account ganiNiliona kile linkedin mkuu. Aladu ilikuwa siku ya mwisho