Nimeitwa kwenye interview Arusha Tech post Examination officer

Nimeitwa kwenye interview Arusha Tech post Examination officer

michael sambu

New Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
3
Reaction score
6
Habari za muda huu wanajamvi? Nimebahatika kuitwa kwenye usahili wa nafasi tajwa hapo juu, lakn changamoto n kuwa hii n mara yangu ya kwanza kwenda kufanya interview za utumishi, naomba mwenye uzoefu, maswali ya, examination officer yanavyo kuwa anisaidie tafadhali sambamba na uzoefu wa namna interview zinavyo kuwa. Natanguliza shukrani.
 
Kukuambia ukweli ni kwamba wewe sio special hapo utakuta mko listed kibao, maswali yanakuwaga dakika 40 kwa written interview... maswali manne

kwamba haujui hata structure ya mtihani hiyo ni dalili mbaya, good luck cause you gonna need it
 
Kila la kheri mkuu.

Nasikitika kuona kuwa hujawahi kupitia nyuzi zetu humu zinazohusu Interview za Utumishi.

Kuna uzi mahususi unaotoa muongozo wa maswali na majibu, laiti ungekuwa unapitia pitia ungekuwa na ABCs mapema.
 
 
Kila la kheri mkuu.

Nasikitika kuona kuwa hujawahi kupitia nyuzi zetu humu zinazohusu Interview za Utumishi.

Kuna uzi mahususi unaotoa muongozo wa maswali na majibu, laiti ungekuwa unapitia pitia ungekuwa na ABCs mapema.
Amechelewa sana kuuona ingemsaidia sana lakini apambane tu
 
Kukuambia ukweli ni kwamba wewe sio special hapo utakuta mko listed kibao, maswali yanakuwaga dakika 40 kwa written interview... maswali manne

kwamba haujui hata structure ya mtihani hiyo ni dalili mbaya, good luck cause you gonna need it
Sijasema mm special mkuu? Nmeomba msaada tu kama msakatonge mwenzenu. Interview nying nmepiga chin coz ya idadi ya watu so hii imenikuta nipo Arusha ndo maana nikaona siyo mbaya nikapate uzoefu. Naomba unisamehe mkuu kama ntakuwa nimeweka post mahal ambapo c sahihi.
 
Sijasema mm special mkuu? Nmeomba msaada tu kama msakatonge mwenzenu. Interview nying nmepiga chin coz ya idadi ya watu so hii imenikuta nipo Arusha ndo maana nikaona siyo mbaya nikapate uzoefu. Naomba unisamehe mkuu kama ntakuwa nimeweka post mahal ambapo c sahihi.
Ok nenda kwenye mtihani you got this
 
Nimetoka juzi tuu kwenye interview ya bunge Dodoma,nakaa mbali sana kusini,mwishomwisho huko,nauli niliyotumia kwenda Dodoma na malazi ni zaidi ya laki mbili, hapo nilisaidiwa tuu.saa hizi unipeleke Arusha mbona pesa ntakayotumia ni mtaji kabisa
 
Nimetoka juzi tuu kwenye interview ya bunge Dodoma,nakaa mbali sana kusini,mwishomwisho huko,nauli niliyotumia kwenda Dodoma na malazi ni zaidi ya laki mbili, hapo nilisaidiwa tuu.saa hizi unipeleke Arusha mbona pesa ntakayotumia ni mtaji kabisa
Tukiachana na nauli, yaani room ya buku 10 hukupata?

Nin imani nauli yako huenda inakaribia laki 1(kwenda na kurudi), room 10, chakula. Jumla isingefika laki 2
 
Nimetoka juzi tuu kwenye interview ya bunge Dodoma,nakaa mbali sana kusini,mwishomwisho huko,nauli niliyotumia kwenda Dodoma na malazi ni zaidi ya laki mbili, hapo nilisaidiwa tuu.saa hizi unipeleke Arusha mbona pesa ntakayotumia ni mtaji kabisa
duuuh pole aseeh
 
Tukiachana na nauli, yaani room ya buku 10 hukupata?

Nin imani nauli yako huenda inakaribia laki 1(kwenda na kurudi), room 10, chakula. Jumla isingefika laki 2
😂😂😂😂Hakupitia ile thread yetu huyu
 
Back
Top Bottom