wazirihusika
Member
- May 17, 2013
- 83
- 82
Wadau nimepigiwa simu kesho nifike NMB house,kuna interview ya kazi ya contract ya miezi mitatu katika department ya finance,naombani uzoefu wenu wa hizi short contract employement
Nilitumia CV kitambo sana hata nilishasahau niliomba kitu gani
.Hata tangazo silikumbuki
Acha udanganyifu wew unawezaje kuxahau kaz uliyoomba co uongo huo au unataka na wengne tusiombe nin ?
Wadau nimepigiwa simu kesho nifike NMB house,kuna interview ya kazi ya contract ya miezi mitatu katika department ya finance,naombani uzoefu wenu wa hizi short contract employement
Nimefanikiwa interview Jumatatu nimeambiwa nifike na original certificates pale NMB house,naomba yeyote anayejua kwa level ya masters naweza anza na salary ya kiasi gani?
mbona una wenge wewe au ndo kupagawa ?maswala ya mshahara nenda hukohuko kama utapita basi utapatiwa mkataba na utaona mshahala wako. issue yenyewe ni jumatatu sasa ww unaona mbali au?
Nimekuelewa madege ila sikuulizia mshahala,niliuliza mshahara.Halafu sina wenge kama huna ajira na unastress nipm nikusaidie ila uwe umesoma course za business
Masters unaona kama kubwaaaa! Mshahara sio level ya elimu ni productivity na experience ndugu.
Jichangechange na wewe ukaisome ni Milioni kama saba,muda miezi kumi na nane tu,sio kubwa dotnetMasters unaona kama kubwaaaa! Mshahara sio level ya elimu ni productivity na experience ndugu.
Hautalipwa kutokana na elimu yako bali kutokana na kiti utakachokalia... nimesomeka? It doesn't matter kama una masters au bachelor... ikiwa utaajiriwa kama Teller (kiti utakachokalia) basi utalipwa kama Teller na ikiwa utaajiriwa kama Loan Officer (your chair) basi utalipwa kama Loan Officer na sio kama a guy with masters degree with distinction...Nimefanikiwa interview Jumatatu nimeambiwa nifike na original certificates pale NMB house,naomba yeyote anayejua kwa level ya masters naweza anza na salary ya kiasi gani?
Hautalipwa kutokana na elimu yako bali kutokana na kiti utakachokalia... nimesomeka? It doesn't matter kama una masters au bachelor... ikiwa utaajiriwa kama Teller (kiti utakachokalia) basi utalipwa kama Teller na ikiwa utaajiriwa kama Loan Officer (your chair) basi utalipwa kama Loan Officer na sio kama a guy with masters degree with distinction...
Jichangechange na wewe ukaisome ni Milioni kama saba,muda miezi kumi na nane tu,sio kubwa dotnet
Watu bana kwani kakwambia ni kubwa ?? alaf inategemea na sehemu kwa serikalini level ya elimu huzingatiwa
Hautalipwa kutokana na elimu yako bali kutokana na kiti utakachokalia... nimesomeka? It doesn't matter kama una masters au bachelor... ikiwa utaajiriwa kama Teller (kiti utakachokalia) basi utalipwa kama Teller na ikiwa utaajiriwa kama Loan Officer (your chair) basi utalipwa kama Loan Officer na sio kama a guy with masters degree with distinction...