Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Honestly sijasali leo, as kaka unaruhusiwa kuni-reprimand ila usimwambie mama; maana kaniuliza hilo weekly swali kwa simu, nikamuwahi kwa swali jingine maana ubavu wa kuomuongopea sinao.
Mzima lakini?
Mzima lakini?
Dah mkuu naona shetani alikupandisha juu ya mlima mrefu kuliko yote na kukuonyesha miliki ya uzuri wa dunia na kukuomba umkubali ili akumilikishe iye ya kwako,lakini dah...........kitendo cha kufuata condom kwenye gari kilikupa uaminifu usio kuwa nao............kuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye hii story.Kaunga dada yangu umetoka kanisani lakini maana nakuona wewe na Kongosho mpo pamoja hapo sijui mnakunya"walwa" ha ha ha ha