nimeipenda hii

nimeipenda hii

Honestly sijasali leo, as kaka unaruhusiwa kuni-reprimand ila usimwambie mama; maana kaniuliza hilo weekly swali kwa simu, nikamuwahi kwa swali jingine maana ubavu wa kuomuongopea sinao.

Mzima lakini?
Dah mkuu naona shetani alikupandisha juu ya mlima mrefu kuliko yote na kukuonyesha miliki ya uzuri wa dunia na kukuomba umkubali ili akumilikishe iye ya kwako,lakini dah...........kitendo cha kufuata condom kwenye gari kilikupa uaminifu usio kuwa nao............kuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye hii story.Kaunga dada yangu umetoka kanisani lakini maana nakuona wewe na Kongosho mpo pamoja hapo sijui mnakunya"walwa" ha ha ha ha
 
hii ni hadithi bwana na sio story ya kweli.ingawa ina mafunzo fulani.haiwezekani wana familia wamtumilie mtoto wao ili kukutega wewe.tena huyo binti yao wamkubalishe hasa awe anavaa viguo vya kukutega.
 
Mimi na girlfriend wangu tulikuwa
tunapendana sana. Tulikuwa
tumeishakuwa pamoja kwa mudawa miaka
minne hivi, na hivyo
tukawa tumeamua kuoana. Kulikuwa na
jambo moja dogo tulililokuwa
likinisumbua sana; mdogo wake wa kike
ambae alikuwa mzuri sana.
Huyo binti (shemeji yangu) alikuwa na umri
wa miaka ishirinina moja hivi,
muda wote alipendelea kuvaa sketi fupi sana
na fulana nyepesi au brauzi
zinazoonesha mwili wake na jinsi kifua chake
kilivyo alikuwa hahitaji
kuvaa sidiria. Pamoja na binti huyu kuwa
mwembamba kiasi, alikuwa na
umbo la ajabu. Kiuno chake kiliumbwa mithiri
ya nyingu weusi....
Tatizo ni kwamba mara nyingi binti
alipokuwa akiniona alikuwa na tabia
ya kujipitisha pitisha na kuinama mbele
yangu ili kunionesha mtaji wake.
Kusema kweli nilikuwa navutiwa sana na
uzuri wake, lakini nilikuwa namuheshimu
sana mchumba wangu. Na pia nilijua alikuwa
ananifanyia makusudi maana
alikuwa hafanyi hivyo kukiwa na watu
wengine...bila shaka alikuwaananitaka.
Siku moja binti huyo alinipigia simu niende
nyumbani kwake nikaangalie kadi za
mialiko ya arusi alizokuwa amechapisha.
Nilipofika (wakati naingia ndani)
akaninong'oneza ¬ kuwa ananitamani sana
na kamwe hawezi kujizuia. Akaendelea
kunieleza kuwa anahitaji tufanye mapenzi
kabla sijafunga ndoa nadada yake
ili nisijisikie vibaya kwamba natoka nje ya
ndoa....
Nilipigwa na bumbuazi na hasa kutokana na
nguo za nusu uchi alizokuwa
amevaa. Kabla sijamwambia lolote akaniwahi
"Mi natangulia juu (ghorofani)
kwenye chumba changu, kama unahitaji
nikupe kitu kitamu njooharaka
kabla mashetani yangu hayajapoa..."
akageuka na kukimbilia chumbani kwake.
Haraka nikageuka na kuelekea mlango
mkubwa wa kutoka nje. Nikafungua na
kutoka kuelekea kwenye gari yangu. Loh!
kwa mshangao mkubwa nikaona
pale nje familia yote imekusanyika na
waliponiona nikitoka wakanipigia
makofi na vigelegele kwa furaha.
Huku machozi yakimtoka kwa furaha, baba
mkwe akaniambia"Tume ¬furahi
sana kwamba umeshinda mtihanimdogo wa
uaminifu ulioandaliwana familia.
Tuna hakika wewe ndie mwanaume pekee
unaefaa kumuoa binti yetu...karibu
katika familia....
Kitu cha maana nilichojifunza siku hiyo, ni
umuhimu wa kuweka condom
ndani ya gari badala ya kutembea nazo
mfukoni....


Safiii....kWa wale wadau tunajua hii post imerudiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom