proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,420
- 7,005
Mbona najiunga nao nashindwa?
Kwanza huo mtandao hauna regulations watu wanatukana hovyo na upuuzi mwingine kama huo.Yah sio mara ya kwanza kujiunga na mtandao wa X hii ilikuwa mara ya pili nikiamini labda mda huu ninaweza kumudu ila nikashindwa tena.
X Kuna negativity sio za dunia hii.
X kuna majadiliano yenye kuumiza na kuvunja sana moyo eg mgogoro wa Palestine na kule Nigeria north unaona yanayotokea hadi nafsi inakata tamaa.
X Kuna picha na video za ngono zimetapakaa hadi sio poa. X Kuna matusi na fujo.
Kimsingi ni rough street kama auhitaji kwenda kule Baki Facebook na JF ni safe sana.
JF tunaingia ili kuwakera Members wake afu tunaenda kuperuzi X*bora kule x kuliko jf ambayo picha hazifungukii! halafu kama kuna thread umeipoteza huwz kusearch na kupataa ,kiufupiii jf imeharibikaaa