Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,495
- 13,132
Mtandao wa X una madini ya kutosha, na watumiaji wa aina mbali mbali, apart from algorithm, X unapata unachokihitaji.
nkajua notifications ni mimi tu maana sijaziona tangu AugustX ndo mtandao usioegemea upande wowote sio kama JF, maoni kuhusu dini, gender yanafutwa wanachagua mada, X kuna mambo mengi inategemeana umefollow watu gani, JF ya hovyo kwanza picha hazifunguki, notification mara hamna mara ipo ,JF ya hovyo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
X ni kubwa huwezi edit contentX ndo mtandao usioegemea upande wowote sio kama JF, maoni kuhusu dini, gender yanafutwa wanachagua mada, X kuna mambo mengi inategemeana umefollow watu gani, JF ya hovyo kwanza picha hazifunguki, notification mara hamna mara ipo ,JF ya hovyo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki wake shetani unategemea nini.ngono ni ibadaHizi usifungue hasa kama hupendi masuala ya porn ila Sasa ukiona picha unatamani kuona yaliyomo
Dah sio mtandao aisee nimewaza sana vijana wadogo wenye sim hali ni mbaya sana
Mkuu, isije ikawa tatizo ni simu yako, ua mtandao unaotumiachachee, na zinafuguka kwa speed ya 0g netwek
Hatari sana..Hizi usifungue hasa kama hupendi masuala ya porn ila Sasa ukiona picha unatamani kuona yaliyomo
Dah sio mtandao aisee nimewaza sana vijana wadogo wenye sim hali ni mbaya sana
Inunue tu mbona simpleSijui nini kilipelekea twitter ikaitwa x
Ningekua na uwezo ningerudisha jina twitter
Hilo la picha kutofunguka nilijua nikwangu tu yaani inakera sana aisee*bora kule x kuliko jf ambayo picha hazifungukii! halafu kama kuna thread umeipoteza huwz kusearch na kupataa ,kiufupiii jf imeharibikaaa
Hata mimi mkuu sijui tatizo Nini?nkajua notifications ni mimi tu maana sijaziona tangu August
Jaribu Quora.hamna mtandao wenye madini kama X duniani hapa ni vile umejichagulia kufuatilia upuuzi
nkajua notifications ni mimi tu maana sijaziona tangu August
Yah sio mara ya kwanza kujiunga na mtandao wa X hii ilikuwa mara ya pili nikiamini labda mda huu ninaweza kumudu ila nikashindwa tena.
X Kuna negativity sio za dunia hii.
X kuna majadiliano yenye kuumiza na kuvunja sana moyo eg mgogoro wa Palestine na kule Nigeria north unaona yanayotokea hadi nafsi inakata tamaa.
X Kuna picha na video za ngono zimetapakaa hadi sio poa. X Kuna matusi na fujo.
Kimsingi ni rough street kama auhitaji kwenda kule Baki Facebook na JF ni safe sana.
Melo analijua hili?*bora kule x kuliko jf ambayo picha hazifungukii! halafu kama kuna thread umeipoteza huwz kusearch na kupataa ,kiufupiii jf imeharibikaaa
acha kutete uozoo, JF PICHA KUFUNGUKAA MPAKA JASHO LITOKEE, HAKUNA KUSEARCH THREAD, NYUZI ZINAFUTWA HOVYOOO ZIKIMGUSA KIONGOZI YEYOTE, yaaaan jf itakufa kifoo kibayaaaaa, mm zaman nlikuwa siwez kukaa dakk 20 sijaingia jfMkuu, isije ikawa tatizo ni simu yako, ua mtandao unaotumia