masesa1900
New Member
- Nov 22, 2011
- 3
- 1
Hello waungwaba na wafuaji wa mbongo, nimeamua kuingia katika kilinge hiki baada ya muda mrefu kuwa mfuatiliaji wa fora kama guest(mgeni). Nikasukumwa na ile dhana isemayo "Ukitaka Kujua Uhondo wa Ngoma..........., Ingia Ucheze" na pia natumai nitacheza kwa step zile ambazo magwiji wastaarabu wa kilinge hiki wamezoea kugonga.
Tupo pamoja
Tupo pamoja