cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 175
- 618
Nilienda shop nikakutana na hii kitu nikamuuliza muuza duka ni mdogo tu (wa kiume) nazani kawekwa hapo shop kama mfanyakazi nikanogewa na ili kopo nikamuuliza kwani hii ni spray akaniambia ndio nikanusa juu ya kizibo nikaona inanukia poa bei sh elfu sita.
Jana kulikuwa na pati somewhere nikavaa gauni langu jeusi nzuri kabisa, nikasema ngoja sasa nichukue spray nipulizie kwenye gauni nikashangaa kuona sehemu zote nilizopulizia zina asili ya unga unga sasa nauliza hii ni kitu gani jamani au inatumika kwenye nini? "Nimesoma comment zenu mmeniambia ya kwapani,nimejaribu kupulizia kwapani mbona kwapa linakuwa jeupe kama powder kwaiyo nikishapuliza naacha ivyo ivyo ayo mapowder?
Jana kulikuwa na pati somewhere nikavaa gauni langu jeusi nzuri kabisa, nikasema ngoja sasa nichukue spray nipulizie kwenye gauni nikashangaa kuona sehemu zote nilizopulizia zina asili ya unga unga sasa nauliza hii ni kitu gani jamani au inatumika kwenye nini? "Nimesoma comment zenu mmeniambia ya kwapani,nimejaribu kupulizia kwapani mbona kwapa linakuwa jeupe kama powder kwaiyo nikishapuliza naacha ivyo ivyo ayo mapowder?