M MNYAKONGWA Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8 Reaction score 4 Apr 11, 2013 #1 Ndugu zangu wana JF; mabwana na bibi,wakubwa kwa wadogo.Naomba mniwie radhi kwa kuingia ndani ya JF;bila kubisha hodi wala kuwasalimia.Naamini mtachukulia nami katika udhaifu na kunisamehe ndugu katika JF sasa !!! :amen:
Ndugu zangu wana JF; mabwana na bibi,wakubwa kwa wadogo.Naomba mniwie radhi kwa kuingia ndani ya JF;bila kubisha hodi wala kuwasalimia.Naamini mtachukulia nami katika udhaifu na kunisamehe ndugu katika JF sasa !!! :amen:
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,325 Reaction score 2,901 Apr 11, 2013 #2 Bila ya samahani. Karibu JF.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,771 Reaction score 109,899 Apr 12, 2013 #3 Karibu sana JF...
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,811 Reaction score 13,767 Apr 12, 2013 #4 Karibu sana JF.