Nimeibiwa simu

Nimeibiwa simu yenye vitu vya maana.. Ivi amna namna naeza kuipata
Sema ni simu ya aina gani pengine wadau/I.T wanaweza kukusaidia..!

Kuhusu hivyo vitu vyako vya maana, lakini si simu.!
 
stakabadhi uliyo nunulia nadhani itakuwa na imei ya simu yako watakusaidia
 
Next tym vitu vya maana kene simu tumia cloud storage kwa sisi wa android tuna enjoy ya bure kabisa ya drive..... Una upload vitu vyako na vinakua veery safe ani...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…